Rule namba moja yako ipi?

Rule namba moja yako ipi?

1- Drink beer and save water, before smoking weed...☘️
 
1.Huwa sisamehi.. yaan ukinifanyia ubaya ni imetoka hyo... Tutaongea .. kusalimiana ila kusamehe .. huwa sisamehi.. nahis hili jambo si zuri

2.sishobokei mtu hata awe nani

3.hata kama ni shida/tatzo.. huwa sionyeshi.. nakua kawaida.. hata kama napitia kipind kigum vip.. some1 from outside.. will neva ever know
Hiyo 2 na 3 tunashare mkuu

Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
 
Habari za muda huu wapendwa wa JF,

Najua katika maisha kila moja ana msimamo wake ambao mwenyewe anauamini... naamini pia hapa kuna watu tofauti kila moja Ana falsafa yake ... hebu share nasi yako ni ipi?

Tuanze na mimi binafsi rule namba moja yangu ni
SUKUPIGII SIMU MARA MBILI ...imeisha hiyo ....
Ukweli daima!
 
Mtu namdai, sitachoka kumpigia hata anipe block
Kuna mpuuzi namdai laki nne ananizungusha sana alafu ni mtu mzima namheshimu tunaheshimiana.

Kila wqzo linanijia,nasema nikamtukane no sio kawaida yangu,nimnunie no ni upuuzi,kila nikienda ananipiga kelenda tu.

Ebu nipeni mawazo
 
Back
Top Bottom