Rule namba moja yako ipi?

Rule namba moja yako ipi?

Sema ninazo nyingi halafu nimezipa uzito sawa ila ngoja tuiweke hii...

Kuwa open na kusambaza upendo, giving people their flowers while they are still living.
That is a great one.

I concur with it.
 
Mkuu umenikumbusha mbali
Kuna siku 1 tulikuwq mazingira ya bar mwanaume 1 akamfokea bar maid hadi nikajiskia vibaya. Ishu ndogo tu jamaa alimdhalilisha yule dada ikabidi niingilie kati kupooza hali ya hewa. Tangu siku ile sikumpenda tena yule kaka, it was so inhuman kwa kweli.

Ulifanya vizuri Tu na hiyo ndio ilikuwa sura yake halisi. Mtu ambaye anaweza kumfanyia hivyo mtu asie na sauti kwake amini, anakuheshimu wewe kwa sababu flani na ukiipoteza atakudharau vile vile
 
1.Huwa sisamehi.. yaan ukinifanyia ubaya ni imetoka hyo... Tutaongea .. kusalimiana ila kusamehe .. huwa sisamehi.. nahis hili jambo si zuri

2.sishobokei mtu hata awe nani

3.hata kama ni shida/tatzo.. huwa sionyeshi.. nakua kawaida.. hata kama napitia kipind kigum vip.. some1 from outside.. will neva ever know
 
Back
Top Bottom