Habari za muda huu wapendwa wa JF,
Najua katika maisha kila moja ana msimamo wake ambao mwenyewe anauamini... naamini pia hapa kuna watu tofauti kila moja Ana falsafa yake ... hebu share nasi yako ni ipi?
Tuanze na mimi binafsi rule namba moja yangu ni
SUKUPIGII SIMU MARA MBILI ...imeisha hiyo ....
Ww ni mimi hasa hapo kwenye revenge1. Stop telling people more than they need to know. Information ni ghali sana.
2. Napenda revenge, haijalishi nitatumia muda gani kuitimiza.
3. Sitafuti validation kwa mtu au watu.
Kapime ukimwi weweBasi na wewe acha kutukana mama zetu na dada zetu. F@ck you, and have a nice day!
Labda cmu yangu ili poteza contact mkuu,ndio maana mtu anauliza we Nan ili aisave Tena namba yako cio Kwa ubaya .Nikikupgia au kukutumia msg na namba yangu huwa ni ile ile miaka inaenda 10 sasa
ukaniuliza "NANI" au "wewe nani" au "nani mwenzangu" Huwa nakata simu on spot
na hapo hapo nafuta no.yako cause hata yangu kumbe hauna,Tukikutana tena face to Face tutapeana upya namba.
Bila ushahidi na kujiridhisha hata uniambie Nini nitakupuuza haijalishi ni mke au mama au yeyote.Habari za muda huu wapendwa wa JF,
Najua katika maisha kila moja ana msimamo wake ambao mwenyewe anauamini... naamini pia hapa kuna watu tofauti kila moja Ana falsafa yake ... hebu share nasi yako ni ipi?
Tuanze na mimi binafsi rule namba moja yangu ni
SUKUPIGII SIMU MARA MBILI ...imeisha hiyo ....
Mashabiki wa arteta
Same hereTangu nimegundua ukiwa mwema sana utaonewa hata na wadhaifu, nacheza na beat, nitakujibu mara mbili ya utakavyokuja. Ukija kwa wema utaukuta, ukija kwa ubaya sikuachi.
Hawachelewi kula kimasihara-Marufuku kuwa na urafiki wa karibu na mtu ninayemwita boss
- Swali lolote kuhusu maisha yangu binafsi huwa sijibu au nikikujibu nakudanganga.naheshimu my privacy sana.