Me, only judge can god me.Only God can Judge Me.
Malizia pia kuna watu huwa wanakuletea stori za mayele onlySina rafiki,nina washirika tuu ninao shirikiana nao kwenye mambo kadha wa kadha tukimaliza hilo jambo kila mtu ashike njia yake.
Kama jambo ni endelevu tutakua tunawasiliana kwenye jambo hilo tuu.
Kwa mfano kuna watu we talk about Manchester united only!
Kuna watu we talk about cr7 only!
Lakini kibongo bongo hii style mbona kama ngum hasa ukiwa kwenye ofisi zao... maana naskia ukiwa kazini ili uendane na boss lazma ujitoe akili kodgo ili mambo yaende sawa ... namanisha asilimia 75% ya majibu yako lazma yawe sawa mkuu .... na asilimia iliyobaki utahitajika usifie tu ikibidi upige makofi na tabasamu juuBila ushahidi na kujiridhisha hata uniambie Nini nitakupuuza haijalishi ni mke au mama au yeyote.
Kwa hiyo huwa sifanyi Kazi kwa hisaia au kwa kusikia tuu kama walivyokuwa wanaambiwa wale wanyonge.
Mimi sio bossLakini kibongo bongo hii style mbona kama ngum hasa ukiwa kwenye ofisi zao... maana naskia ukiwa kazini ili uendane na boss lazma ujitoe akili kodgo ili mambo yaende sawa ... namanisha asilimia 75% ya majibu yako lazma yawe sawa mkuu .... na asilimia iliyobaki utahitajika usifie tu ikibidi upige makofi na tabasamu juu
Sababu sio hiyo tu maana boss anaweza kuwa mwanamke mwenzangu. binadamu wengine ukiruhusu akuzoee sana anaanza kukuchukulia poa.Hawachelewi kula kimasihara
Acha utani..mbona mbunye haileti hela zaidi ya kutoa hela..ila unaishobokea.
Lakini mwisho wa siku pesa siyo kila kitu
Never trade respect for attentionHabari za muda huu wapendwa wa JF,
Najua katika maisha kila moja ana msimamo wake ambao mwenyewe anauamini... naamini pia hapa kuna watu tofauti kila moja Ana falsafa yake ... hebu share nasi yako ni ipi?
Tuanze na mimi binafsi rule namba moja yangu ni
SUKUPIGII SIMU MARA MBILI ...imeisha hiyo ....