Rule namba moja yako ipi?

Rule namba moja yako ipi?

Sitoi advice kama sijaombwa

Kuna watu huja kunisimulia mambo yaoo ila mimi nawasikiliza tu na kuonesha hisia zangu kama ni zuri tutafurahi wote na kama ni baya tutahuzunika wote,ila huwezi kupata ushauri wangu kama hujauomba
 
1.Huwa sisamehi.. yaan ukinifanyia ubaya ni imetoka hyo... Tutaongea .. kusalimiana ila kusamehe .. huwa sisamehi.. nahis hili jambo si zuri

2.sishobokei mtu hata awe nani

3.hata kama ni shida/tatzo.. huwa sionyeshi.. nakua kawaida.. hata kama napitia kipind kigum vip.. some1 from outside.. will neva ever know

Introvert[emoji1787]
 
Sipokeagi simu.

Huwa naiangalia inavyoita ikikata tu nakupigia ili niwe huru kumaliza maongezi.

Hakuna kitu nachoonaga uvivu kama kuongea na simu muda mrefu.
Mkuu hiyo picha hapo.. ni Mdindifu au Mkangafu?
 
Kuna mpuuzi namdai laki nne ananizungusha sana alafu ni mtu mzima namheshimu tunaheshimiana.

Kila wqzo linanijia,nasema nikamtukane no sio kawaida yangu,nimnunie no ni upuuzi,kila nikienda ananipiga kelenda tu.

Ebu nipeni mawazo
Kwanza pole sana, tulia mpe mda be patient,atakulipa Kwa surprised,shida haziishi atarud tu na akirud asahau Msaada wako . jaribu tu kumkumbusha unashida na iyo ela .
 
Sina rafiki,nina washirika tuu ninao shirikiana nao kwenye mambo kadha wa kadha tukimaliza hilo jambo kila mtu ashike njia yake.
Kama jambo ni endelevu tutakua tunawasiliana kwenye jambo hilo tuu.

Kwa mfano kuna watu we talk about Manchester united only!
Kuna watu we talk about cr7 only!
Umetisha jamaaa..

#MaendeleoHayanaChama
 
mm ni mwema,mtiifu mcha mungu mnyenyekevu sana, napenda kujari watu wa rika zote ndani na nje ya ofisi lkn ...mm ni nani?? unapoleta deep shit zako utafurah sanaa
mm ni zaidi V.PUTIN kwa wa ukraine
This is me!
 
Habari za muda huu wapendwa wa JF,

Najua katika maisha kila moja ana msimamo wake ambao mwenyewe anauamini... naamini pia hapa kuna watu tofauti kila moja Ana falsafa yake ... hebu share nasi yako ni ipi?

Tuanze na mimi binafsi rule namba moja yangu ni
SUKUPIGII SIMU MARA MBILI ...imeisha hiyo ....
Sasa ndugu mfano unaenda sehemu ambapo hujawahi kwenda afu Kuna mwenyeji wako ndo unategemea akupokee
Umefika stend umepiga simu yake hajapokea Je hutopiga tena??

Sent from my TECNO B1p using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom