Rule namba moja yako ipi?

Rule namba moja yako ipi?

Habari za muda huu wapendwa wa JF,

Najua katika maisha kila moja ana msimamo wake ambao mwenyewe anauamini... naamini pia hapa kuna watu tofauti kila moja Ana falsafa yake ... hebu share nasi yako ni ipi?

Tuanze na mimi binafsi rule namba moja yangu ni
SUKUPIGII SIMU MARA MBILI ...imeisha hiyo ....
Keep silent
 
1.Never Lie

Usijichanganye kunidanganya,sina uongo mdogo wala uongo mkubwa kwangu uongo ni uongo (sinaga utani eneo hilo) kuna kunizuga eti "nilikua nakutaniaaaaa" sio kwangu,utani wa UONGO nauchukulia ni Reality Show.

Sisahau tunapochat tunapoongeaa huwa nafanya recall na zile past stories niki find out kuna mahali ulipndisha maelezo either kwa kutania (kama utavyojitetea) au kwa kudhamiria,Fahamu ktk marks nilizokupa Natoa 50,kama uli score 70/100 tukitoa 50 tunapata 20/100.
 
Habari za muda huu wapendwa wa JF,

Najua katika maisha kila moja ana msimamo wake ambao mwenyewe anauamini... naamini pia hapa kuna watu tofauti kila moja Ana falsafa yake ... hebu share nasi yako ni ipi?

Tuanze na mimi binafsi rule namba moja yangu ni
SUKUPIGII SIMU MARA MBILI ...imeisha hiyo ....
Mtu namdai, sitachoka kumpigia hata anipe block
 
1. Stop telling people more than they need to know. Information ni ghali sana.

2. Napenda revenge, haijalishi nitatumia muda gani kuitimiza.

3. Sitafuti validation kwa mtu au watu.
Namba 2, mwachie Karma
 
Naomba namna yako mkuu
Mfano tumekutana ndugu au jamaa tuliosoma nao,huwa ni story tu na tukitaka kuachana huwa sina muda wa kuomba namba hata kama ndugu au jamaa awe na wadhifa gani

Maana sinaga story kwenye sm,sasa hata namba nikichukua tutaongea nini
 
1.Huwa sisamehi.. yaan ukinifanyia ubaya ni imetoka hyo... Tutaongea .. kusalimiana ila kusamehe .. huwa sisamehi.. nahis hili jambo si zuri

2.sishobokei mtu hata awe nani

3.hata kama ni shida/tatzo.. huwa sionyeshi.. nakua kawaida.. hata kama napitia kipind kigum vip.. some1 from outside.. will neva ever know
Tuna fanana some characters... ila naskia siyo nzuri sana coz kiasili binadamu tuna tegemeana coz hujui atakaye kusaidia ni nani
 
Back
Top Bottom