Acha kunikumbusha marehemu mama yanguMama yako anauza wapi mkuu?
Keep silentHabari za muda huu wapendwa wa JF,
Najua katika maisha kila moja ana msimamo wake ambao mwenyewe anauamini... naamini pia hapa kuna watu tofauti kila moja Ana falsafa yake ... hebu share nasi yako ni ipi?
Tuanze na mimi binafsi rule namba moja yangu ni
SUKUPIGII SIMU MARA MBILI ...imeisha hiyo ....
wewe naona unanifundisha tabia mbayaSipokeagi simu.
Huwa naiangalia inavyoita ikikata tu nakupigia ili niwe huru kumaliza maongezi.
Hakuna kitu nachoonaga uvivu kama kuongea na simu muda mrefu.
Utakula kwa macho ...au wewe ndo wale una mla dem kwa offa1: Sitongozi mwanamke kamwe.
Kwani mapenzi ni pesa mkuu. Usiendekeze kuhongaHuli hela yangu mpaka nikutafune kwanza haina ufagio hio!
Lakini mwisho wa siku pesa siyo kila kituKama haileti hela,,, kwangu haimake sense.


.. eti hata uwe mzuri vipi ukija kwangu jiandae kuchitiwa tuNakazia ... for every action there is equal or opposite reaction.No body cares, work harder.
Mtu namdai, sitachoka kumpigia hata anipe blockHabari za muda huu wapendwa wa JF,
Najua katika maisha kila moja ana msimamo wake ambao mwenyewe anauamini... naamini pia hapa kuna watu tofauti kila moja Ana falsafa yake ... hebu share nasi yako ni ipi?
Tuanze na mimi binafsi rule namba moja yangu ni
SUKUPIGII SIMU MARA MBILI ...imeisha hiyo ....
Namba 2, mwachie Karma1. Stop telling people more than they need to know. Information ni ghali sana.
2. Napenda revenge, haijalishi nitatumia muda gani kuitimiza.
3. Sitafuti validation kwa mtu au watu.
Mfano tumekutana ndugu au jamaa tuliosoma nao,huwa ni story tu na tukitaka kuachana huwa sina muda wa kuomba namba hata kama ndugu au jamaa awe na wadhifa ganiNaomba namna yako mkuu
Tuna fanana some characters... ila naskia siyo nzuri sana coz kiasili binadamu tuna tegemeana coz hujui atakaye kusaidia ni nani1.Huwa sisamehi.. yaan ukinifanyia ubaya ni imetoka hyo... Tutaongea .. kusalimiana ila kusamehe .. huwa sisamehi.. nahis hili jambo si zuri
2.sishobokei mtu hata awe nani
3.hata kama ni shida/tatzo.. huwa sionyeshi.. nakua kawaida.. hata kama napitia kipind kigum vip.. some1 from outside.. will neva ever know