CONTROLA
JF-Expert Member
- Sep 15, 2019
- 7,087
- 23,868
Nikikupgia au kukutumia msg na namba yangu huwa ni ile ile miaka inaenda 10 sasa
ukaniuliza "NANI" au "wewe nani" au "nani mwenzangu" Huwa nakata simu on spot
na hapo hapo nafuta no.yako cause hata yangu kumbe hauna,Tukikutana tena face to Face tutapeana upya namba.
ukaniuliza "NANI" au "wewe nani" au "nani mwenzangu" Huwa nakata simu on spot
na hapo hapo nafuta no.yako cause hata yangu kumbe hauna,Tukikutana tena face to Face tutapeana upya namba.

