RUKWA: RC aagiza walimu kuwakagua wanafunzi ili kubaini iwapo wanavaa hirizi ili kukabiliana na vitendo vya kishirikina

Hoja iko rukwa kuhusu hirizi,wewe unawananga wa pwani na ndoa zao za matala sio mitala Kama ulivyoandika.
Kuongoza matokeo kidato Cha nne sio hoja,hoja ni kua na maarifa yakusaidie maishani,unaweza kuwa uliiba mitihani ukaongoza Ila huna maarifa.
Na Maarifa pia ya maisha yapo zaidi mikoa hiyo

Au nasema uongo ndugu yangu
 
MKUU wa Mkoa wa Rukwa, Joachim Wangabo, amewaagiza walimu wakuu na wakuu wa shule kuwakagua wanafunzi ili kubaini iwapo wanavaa hirizi wawapo shuleni, ili kukabiliana na vitendo vya kishirikina.

Agizo hilo alilitoa jana kwenye mkutano alioufanya Kijiji cha Malonje wilayani Sumbawanga kutokana na baadhi ya wananchi kudaiwa kuwa na tabia ya kuwaita waganga wa jadi, maarufu lambalamba, na kuwalipa fedha ili wawasafishie nyumba na mali zao.

"Kutokana na baadhi ya wazazi wa wanafunzi kuamini ushirikina kupita kiasi, huenda wakawapa hata watoto wao hirizi na matunguli ili waende nayo shuleni wakiamini kuwa vitu hivyo vitawalinda watoto wao hali ambayo itasababisha usumbufu kwa wanafunzi wengine.

Taarifa: Nipashetz


Kuna Mtu aliwahi kuniambia All - Rounder kuwa kama kuna Mkoa ambao hata Baba wa Taifa aliuogopa na kuna RC alilazwa Darini ni wa Rukwa.
Daah hii kazi ngumu,yaani walimu watafute power bank manake nyingine hazishikiki,kutafutiana lawama hizi.
 
Back
Top Bottom