DuhNaona anaevaa hirizi na anaevaa rozari ni sawa. Rozari ni imani ya mtu na hirizi ni imani ya mtu.
Upareni sawa,nilitaka nione utataja wapi..Acha uongo. Kilimanjaro na Arusha wapo wengi tu wanavaa hirizi. Kwani unafaidika na nini kuongea uongo? Mimi nashindwa enda hata kwa bibi upareni sababu ya mambo hayo.
Wao wanatoka Mkoa Gani?Upareni sawa,nilitaka nione utataja wapi..
Wapare ni wahuni sana
Africa sissi wajinga sana hirizik tasini, rosalie bangili lotte sawaNaona anaevaa hirizi na anaevaa rozari ni sawa. Rozari ni imani ya mtu na hirizi ni imani ya mtu.
hapo kwa wakuu wa shule na walimu wakuu kukagua ndipo tatizo hasa lilipo.......huko vijijini kitakachovuma ni hao walimu wakuu kuwaingilia mambo yao. yahitajika kuwa mkuu mtemi kulitekeleza hiliKuna watu wanapenda kutafuta matatizo.
Mwana kulifind....
Teh tehKuna watu wanapenda kutafuta matatizo.
Mwana kulifind....
Usitutisheee!!Utaenda kumvua mtoto wa mtu hirizi chamoto utakiona vinginevyo uwe fiti na wewe kwenye ulozi au mcha Mungu kweli, lakini ukiwa mweupe unaweza kujuta maisha yako na familia yako ukaiponza...Wengine haya ni madhabahu yao wamehifadhi vitu vizito sana.
Hirizi kwani ni kitu gani. Ni imani tu ya kujikinga. Mapete ya ajabu ajabu vidoleni mwenu , bangili za shaba mikononi mwenu, na hata baadhi ya chain mnazovaa mashingoni vyote hivyo ni hirizi pia. Inapishana tu matumizi yake.Agizo hilo alilitoa jana kwenye mkutano alioufanya Kijiji cha Malonje wilayani Sumbawanga kutokana na baadhi ya wananchi kudaiwa kuwa na tabia ya kuwaita waganga wa jadi, maarufu lambalamba, na kuwalipa fedha ili wawasafishie nyumba na mali zao.
"Kutokana na baadhi ya wazazi wa wanafunzi kuamini ushirikina kupita kiasi, huenda wakawapa hata watoto wao hirizi na matunguli ili waende nayo shuleni wakiamini kuwa vitu hivyo vitawalinda watoto wao hali ambayo itasababisha usumbufu kwa wanafunzi wengine.
"Walimu wakuu na wakuu wa shule, wakagueni wanafunzi wenu ili muone kama wamevaa hirizi, kwani hayo ndiyo yanayowasumbua wanafunzi wengine, utakuta kwenye shule wanafunzi wanaugua ugonjwa wa kuanguka ovyo, hirizi ndiyo inasababisha hali hiyo," aliagiza.
CCM imepata viongozi weledi sana, ona mambo mazuri haya wanayofanya. Hata ulozi wanajua jinsi ya kuutegua.Ufipa st!
Labda kwa huko upareni na hiyo ni kama 4% labda na Tanga kiasiAcha uongo. Kilimanjaro na Arusha wapo wengi tu wanavaa hirizi. Kwani unafaidika na nini kuongea uongo? Mimi nashindwa enda hata kwa bibi upareni sababu ya mambo hayo.