luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,325
- 6,871
😆😆😆 huyo RC nazani anachezea moto au ana wa beep wazee wa nyungo ngoja washukenae jumla jumla
Hii inaingilia haki ya privacy na mila za watu. Wana Rukwa wawezeshwe kuwa walimu mashuleni mwao.
Tayari yamemshindaKwani serikali siku hizi inaamini uchawi na ushirikina mpaka RC anatoa agizo kama hilo? Marc wanatakiwa kuwa wanasoma soma baadhi ya mambo na si kuagiza tu, nikuwaonea bure waalimu.
MKUU wa Mkoa wa Rukwa, Joachim Wangabo, amewaagiza walimu wakuu na wakuu wa shule kuwakagua wanafunzi ili kubaini iwapo wanavaa hirizi wawapo shuleni, ili kukabiliana na vitendo vya kishirikina.
Agizo hilo alilitoa jana kwenye mkutano alioufanya Kijiji cha Malonje wilayani Sumbawanga kutokana na baadhi ya wananchi kudaiwa kuwa na tabia ya kuwaita waganga wa jadi, maarufu lambalamba, na kuwalipa fedha ili wawasafishie nyumba na mali zao.
"Kutokana na baadhi ya wazazi wa wanafunzi kuamini ushirikina kupita kiasi, huenda wakawapa hata watoto wao hirizi na matunguli ili waende nayo shuleni wakiamini kuwa vitu hivyo vitawalinda watoto wao hali ambayo itasababisha usumbufu kwa wanafunzi wengine.
Taarifa: Nipashetz
Kuna Mtu aliwahi kuniambia All - Rounder kuwa kama kuna Mkoa ambao hata Baba wa Taifa aliuogopa na kuna RC alilazwa Darini ni wa Rukwa.
Waisraeli walipokuwa wametoka Misri, waliamriwa kwamba yeyote ambaye angekutwa na vitu kama hivyo, ilikuwa apigwe mawe mpaka kufa!Kwani serikali siku hizi inaamini uchawi na ushirikina mpaka RC anatoa agizo kama hilo? Marc wanatakiwa kuwa wanasoma soma baadhi ya mambo na si kuagiza tu, nikuwaonea bure waalimu.
Sidhani kama kuna mwalimu atasubutu kutekelezaKwani serikali siku hizi inaamini uchawi na ushirikina mpaka RC anatoa agizo kama hilo? Marc wanatakiwa kuwa wanasoma soma baadhi ya mambo na si kuagiza tu, nikuwaonea bure waalimu.
Acheni uongo.Kuna Mtu aliwahi kuniambia All - Rounder kuwa kama kuna Mkoa ambao hata Baba wa Taifa aliuogopa na kuna RC alilazwa Darini ni wa Rukwa.
Waneanza na yeye kwanza. Kisha kwa Watumishi wote walio chini ya ofisi yake.Hawa viongozi wenyewe wamejaa hirizi kila kona.
Na wenyewe wakaguliwe
Liangalieni Hayawani ( Bumunda ) hili sijui limetokea wapi!Acheni uongo.
Baba wa Taifa hakuwahi kuogopa sehemu yoyote ile.
Na mkoa wa Rukwa haukuwepo enzi yake.
Hujajibu tuhuma za uongo.Liangalieni Hayawani ( Bumunda ) hili sijui limetokea wapi!
Imbecile.Hujajibu tuhuma za uongo.
Mkuu hujaenda shule nini?Imbecile.