Uliyoenda Wewe ndiyo imekufundisha Upumbavu ( Uhayawani ) huu?Mkuu hujaenda shule nini?
Basi umeshinda, kwani una degree ya matusi, Manzese graduate!Uliyoenda Wewe ndiyo imekufundisha Upumbavu ( Uhayawani ) huu?
Huyo RC aache kuingilia mambo ya watu,MKUU wa Mkoa wa Rukwa, Joachim Wangabo, amewaagiza walimu wakuu na wakuu wa shule kuwakagua wanafunzi ili kubaini iwapo wanavaa hirizi wawapo shuleni, ili kukabiliana na vitendo vya kishirikina.
Agizo hilo alilitoa jana kwenye mkutano alioufanya Kijiji cha Malonje wilayani Sumbawanga kutokana na baadhi ya wananchi kudaiwa kuwa na tabia ya kuwaita waganga wa jadi, maarufu lambalamba, na kuwalipa fedha ili wawasafishie nyumba na mali zao.
"Kutokana na baadhi ya wazazi wa wanafunzi kuamini ushirikina kupita kiasi, huenda wakawapa hata watoto wao hirizi na matunguli ili waende nayo shuleni wakiamini kuwa vitu hivyo vitawalinda watoto wao hali ambayo itasababisha usumbufu kwa wanafunzi wengine.
Taarifa: Nipashetz
Kuna Mtu aliwahi kuniambia All - Rounder kuwa kama kuna Mkoa ambao hata Baba wa Taifa aliuogopa na kuna RC alilazwa Darini ni wa Rukwa.
Kwani na Wewe umezuiliwa kwenda kuipata hiyo Degree ( Shahada ) ya hayo maneno ambayo Wewe umeyaita Matusi ambayo kweli yamechoma?Basi umeshinda, kwani una degree ya matusi, Manzese graduate!
Sasa unaelekea Masters, with thesis!Kwani na Wewe umezuiliwa kwenda kuipata hiyo Degree ( Shahada ) ya hayo maneno ambayo Wewe umeyaita Matusi ambayo kweli yamechoma?
Kwani Intellectual yoyote hajui kuwa ukifanya Masters basi thesis / dissertation inakuhusu? Acha Uboya Ndugu, halafu hapa ninakusanifu tu sasa.Sasa unaelekea Masters, with thesis!
Mkuu unaelekea Phd!Kwani Intellectual yoyote hajui kuwa ukifanya Masters basi thesis / dissertation inakuhusu? Acha Uboya Ndugu, halafu hapa ninakusanifu tu sasa.
Wewe huitaki?Mkuu unaelekea Phd!
Ushirikina ni imani kama ilivyo Ukristo na Uislamu. Kujaribu kuuingilia kwa njia rasmi hivyo ni kuvunja katiba.MKUU wa Mkoa wa Rukwa, Joachim Wangabo, amewaagiza walimu wakuu na wakuu wa shule kuwakagua wanafunzi ili kubaini iwapo wanavaa hirizi wawapo shuleni, ili kukabiliana na vitendo vya kishirikina.
Agizo hilo alilitoa jana kwenye mkutano alioufanya Kijiji cha Malonje wilayani Sumbawanga kutokana na baadhi ya wananchi kudaiwa kuwa na tabia ya kuwaita waganga wa jadi, maarufu lambalamba, na kuwalipa fedha ili wawasafishie nyumba na mali zao.
"Kutokana na baadhi ya wazazi wa wanafunzi kuamini ushirikina kupita kiasi, huenda wakawapa hata watoto wao hirizi na matunguli ili waende nayo shuleni wakiamini kuwa vitu hivyo vitawalinda watoto wao hali ambayo itasababisha usumbufu kwa wanafunzi wengine.
Taarifa: Nipashetz
Kuna Mtu aliwahi kuniambia All - Rounder kuwa kama kuna Mkoa ambao hata Baba wa Taifa aliuogopa na kuna RC alilazwa Darini ni wa Rukwa.
Kwani kuvaa hirizi ni ujinga?Yaani huu ujinga wa kuvaa hirizi na Imani za kijinga huwezi kuzisikia KILIMANJARO wala ARUSHA ambayo imeongoza kufaulisha CSEE mwaka huu
Hii mikoa na ya pwani yenye ndoa za mitara, kucheza watoto ngoma na kucheza bao ni balaa tupu
Wabillah Tawfiq
Sent by Azarel
Nashukuru kuisoma hii comment yako kabla sijacomment. Uko sahihi kabisa na ubarikiwe sana. Ni muhimu kila mtu kuheshimu imani ya mwenzakeNaona anaevaa hirizi na anaevaa rozari ni sawa. Rozari ni imani ya mtu na hirizi ni imani ya mtu.
Hoja iko rukwa kuhusu hirizi,wewe unawananga wa pwani na ndoa zao za matala sio mitala Kama ulivyoandika.Yaani huu ujinga wa kuvaa hirizi na Imani za kijinga huwezi kuzisikia KILIMANJARO wala ARUSHA ambayo imeongoza kufaulisha CSEE mwaka huu
Hii mikoa na ya pwani yenye ndoa za mitara, kucheza watoto ngoma na kucheza bao ni balaa tupu
Wabillah Tawfiq
Sent by Azarel
Hizo za wakuu wa nchi, nawe naona umepania!Wewe huitaki?