Ruksa Ndoa ya Nitonye na Arabela

Ruksa Ndoa ya Nitonye na Arabela

Ina maana yale mapinduzi ya Baba V yalifanikiwa???.

Anyway:
Kabla ya ndoa naomba Arabela anilipe bia zangu. Nilimpiga pombe akanitoroka kabla ya kunilipa Fadhila.

Acha kumsingizia mdogo wangu wewe Mzee.

Mdogo wetu Arabela hanywi pombe..ameshika dini kindaki ndaki. Km umefilisika unatakua usaidiwe hela ya pombe useme.

CC: nitonye, Fixed Point
 
Last edited by a moderator:
Hello Chitchat!
Nikiwa kama Mwenyekiti wa mahusiano,ninapenda kuwajulisha kuwa ndoa ya nitonye na Arabela nimeipitisha rasmi kuanzia leo tarehe 14 Sep 2013 hivyo ninawatakia heri katika maisha yao mapya ya ndoa!
Siruhusu tena pingamizi kwa ndoa hii!

Pia namuamuru Bishanga aniandalie List ya couple zote zilizojionyesha wazi na tuzipitie kuona kama zinafaa au bado ziko kwenye probation!
Kila member ahakikishe anapitiwa na hili zoezi ili kuepuka vurugu za kugombea mke au mume! zubedayo_mchuzi naomba uje tumalize ule mpango wetu wa kumchukua mimi49
N.B: Hakuna ndoa wa wake wawili au wanaume wawili..yan hakuna u-mswati!

Nawasilisha!
I remain
Erickb52
Mwenyekiti wa Mahusiano!



Copy Kwa: Bishanga Arushaone watu8 Filipo marejesho Mr Rocky Blaki Womani Cantalisia YNNAH KOKUTONA LiverpoolFC Mtambuzi Smile Mzee Baba V gfsonwin Evelyn Salt Chocs kipipi Nivea Lady doctor ladyfurahia Mentor Judgement Fixed Point snowhite charminglady sweetlady The secretary kiwatengu shansarie Mrembo by Nature Madame B Heaven on earth Slave stevoh Asprin KakaKiiza amu Paloma sosoliso TANMO Preta PakaJimmy Mzee wa Rula Kabakabana mimi49 @remmy Mwanyasi Asprin Kaizer @c6
Special Copy kwa Babu Dark City

Upo baba JR...kumbe yale mapinduzi yalifanikiwa?
 
hivi Baba V ndo mmemvua uenyekiti kabisa??
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom