nitonye
JF-Expert Member
- Dec 18, 2011
- 7,349
- 3,904
mambo vipi my
Malizia basi hilo la mwisho, mimi niko powa honey
mambo vipi my
Hello Chitchat!
Nikiwa kama Mwenyekiti wa mahusiano,ninapenda kuwajulisha kuwa ndoa ya nitonye na Arabela nimeipitisha rasmi kuanzia leo tarehe 14 Sep 2013 hivyo ninawatakia heri katika maisha yao mapya ya ndoa!
Siruhusu tena pingamizi kwa ndoa hii!
Pia namuamuru Bishanga aniandalie List ya couple zote zilizojionyesha wazi na tuzipitie kuona kama zinafaa au bado ziko kwenye probation!
Kila member ahakikishe anapitiwa na hili zoezi ili kuepuka vurugu za kugombea mke au mume! zubedayo_mchuzi naomba uje tumalize ule mpango wetu wa kumchukua mimi49
N.B: Hakuna ndoa wa wake wawili au wanaume wawili..yan hakuna u-mswati!
Nawasilisha!
I remain
Erickb52
Mwenyekiti wa Mahusiano!
Copy Kwa: Bishanga Arushaone watu8 Filipo marejesho Mr Rocky Blaki Womani Cantalisia YNNAH KOKUTONA LiverpoolFC Mtambuzi Smile Mzee Baba V gfsonwin Evelyn Salt Chocs kipipi Nivea Lady doctor ladyfurahia Mentor Judgement Fixed Point snowhite charminglady sweetlady The secretary kiwatengu shansarie Mrembo by Nature Madame B Heaven on earth Slave stevoh Asprin KakaKiiza amu Paloma sosoliso TANMO Preta PakaJimmy Mzee wa Rula Kabakabana mimi49 @remmy Mwanyasi Asprin Kaizer @c6
Special Copy kwa Babu Dark City
Kila la heri
Mzee na wewe muhonge akuungnishie kwa dada yake fasta
Labda kama anamaanisha nimemuachia "kitimoto" lakini sio kiti cha uenyekiti... asahau kabisa, namfahamu huyu Erickb52 kitambo, siwezi kumpa kiti mtu kama yeye.. Kwa taarifa tu alikuwepo kwenye kamati ya kwanza kabisa ya SCREENING ya members wanaotaka kuoana, alikuwa yeye na Mamndenyi na Ruhazwe JR , aliyoyatenda yalinifanya niifute kamati ile na kubadili kabisa muundo wa safu ya uongozi wangu ikiwepo kuondoa baadhi ya kamati. Hakuridhika na kukosa ile nafasi na akawa anawatumia watu mbalimbali kutangaza mapinduzi dhidi yangu mara kadhaa ambayo yote nimekuwa nikiyazima katika hatua za awali kwa msaada wa wanakamati wangu makini na members watiifu kwa mwenyekiti wao. Kipindi hiki ameona ajitokeze mwenyewe marambili zote. Namuangalia tu. The final blow to him is on the way. . Kuweni na amani wadau wote mnaonitakia mema, huyu bwana na waasi wenzake nawamudu pasi na wasi.
Acha umbea