Ruksa Ndoa ya Nitonye na Arabela

Ruksa Ndoa ya Nitonye na Arabela

Hana tamko lolote linaloweza kuniondoa madarakani!
Mie ndio nimeshachukua rungu hata aje na kelele zake it is too late meeen!


Erickb52. Haiwezekani uwe na kiburi. Itakuwa kuna mataifa ya magharibi yanakupa kiburi.

Baba V kuja huku uondoe huu utata.
 
Last edited by a moderator:
Erickb52. Haiwezekani uwe na kiburi. Itakuwa kuna mataifa ya magharibi yanakupa kiburi.

Baba V kuja huku uondoe huu utata.
Mzee humu ni mipango ya sherehe ya hawa maharusi mambo ya Uenyekiti yalishaita muda mrefu watu tumeshaanza kazi tayari. Nikonasubiri Bishanga aniletee orodha ya wapenzi wote ili tuipitie kwaukaguzi wamwishona kamati yangu
 
Last edited by a moderator:
Erickb52. Basi yameisha.

Ilikuwa utani tu.
Ok sawa hapo tuko sawa! Nivea mdogo wangu kipenzi naomba uje tujadili hili suala la wewe kukaa nyumbani bila kupata utamu wa kifanyio.
Naomba nikukabidhi Mzee (Ni Jina tu sio mzee kweli) uwe nae kwa siku kadhaa ili kumuona kama atakufaa...binafsi nimemuona anakufaa sana...ni mpole namstaarabu sana.
:target:Kazi ni kwako Nivea :target:
 
Last edited by a moderator:
Arabela karibu nyumbani........wii wako wa ukweli niko hapa...........
 
Last edited by a moderator:
hivi na mimi huwa nina ndoa kweli ? embu nikumbusheni kwa hilo.
 
Mzee humu ni mipango ya sherehe ya hawa maharusi mambo ya Uenyekiti yalishaita muda mrefu watu tumeshaanza kazi tayari. Nikonasubiri Bishanga aniletee orodha ya wapenzi wote ili tuipitie kwaukaguzi wamwishona kamati yangu

usisahau file langu na figganigga.....maana tangu lipelekwe katika meza ya mwenyekiti

litakuwa litakuwa limejaa vumbi tu
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom