Ave Ave Maria
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 10,707
- 5,678
Sasa we mbona unamtishia mwenzio?
Filipo hajui kuwa mtu mzima hatishiwi nyau.............Sasa we mbona unamtishia mwenzio?
Ok sawa hapo tuko sawa! Nivea mdogo wangu kipenzi naomba uje tujadili hili suala la wewe kukaa nyumbani bila kupata utamu wa kifanyio.
Naomba nikukabidhi Mzee (Ni Jina tu sio mzee kweli) uwe nae kwa siku kadhaa ili kumuona kama atakufaa...binafsi nimemuona anakufaa sana...ni mpole namstaarabu sana.
:target:Kazi ni kwako Nivea :target:
Mzee naona umebahatika
Hahahahaa
hata mie namuonea wivu balaa sema nalinda heshima ya kiti tu lol
Mzee naona umebahatika