Shoctopus
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 3,434
- 1,985
Imeishaje bwashee?!
Hili series limefika patamu sana. Jiwe si huwa anafukuza wafanyakazi hadharani ghafla bin vu? I wish ajitokeze sasa na amuamuru (kama kawaida yake...) Jaji Mkuu atoe go ahead. Ruge keshachoka na sasa kaamua kama mbwai na iwe mbwai tuu. You die only onceRugemalira amesema amemuandikia barua Gavana wa benki kuu Prof Luoga kumtaka awataje hadharani wanufaika wote wa escrow ili taifa liwajue. Gavana amesema atawataja watu hao pindi atakapopata ruhusa ya mahakama na si vinginevyo.
Hofu kuu,kwajinsi kasumba ya mafisadi dhidi ya raia wemajohnthebaptist,
Rugemalira simuombei mabaya zaidi ya hayo yaliyomkuta ila naota umauti ukimkuta kabla kesi yake haijamalizika.
Ungekuwa umekomaa usingeuliza hili swali!Hivi wakionekana hawana hatia watapewa fidia?
Kwa huyu mzee nasikia yeye alitoa eneo waliko weka hiyo mitambo ya kufua umeme kwa makubaliano maalumu ya kupewa % Fulani kutokana na kafaida katakako patkanajohnthebaptist,
Rugemalira simuombei mabaya zaidi ya hayo yaliyomkuta ila naota umauti ukimkuta kabla kesi yake haijamalizika.
Siyo anatapatapa hizo ni mbinu mahsusi za kuipangua hii kesi,just wait and seeRuge anatapa tapa
Angejikita katika kupangua kesi yake,ingeweza kumsaidia zaidi kuliko kujaribu ku 'crowd the deck' ili wafe wengi
Kamuulize...Kwani zito anasemaje?
Senti bai yuzingi tecno T301
Kweli CCM ni chama cha kupambana na mafisadi (ila mafisadi wa nje ya CCM tu). Mafisadi wa ndani ya CCM wana kinga maalum. Marufuku kupelekwa mahakamani wala kupelekwa kwenye "KAMATI KUU YA CHAMA" kuwajibishwa.
Wafuasi wa CCM waliopewa hela za "ESCROW" wapo mtaani wanakula bata, wanaendesha ma Land Cruiser VX, na wengine bado wapo bungeni.
Na kumnasa Papa kunataka timing!johnthebaptist,
Hapo naona kuna PAPA atanaswa na ndoano, ndiyo maana Gavana wa Benk anapiga chenga.
NB:Rugemalila angejilipua tu maana anaushaidi na nakala ameshampe wakili wake, basi awataje moja kwa moja hapo mahakamani
Kwanini wengine wanapeta mtaani akina Chenge,Tibaijuka,Ngeleja Nk au rushwa ni kwa anayetoa tu mpokeaji haiwahusu?Vipi ambao walibeba kwa Sandarusi,mpaka leo majina yao hayajasemwa,ina maana JPM ameamua kufukia mashimo?Uzuri inajulikana na imekwisha kabidhiwa kwa serikali,hata wakifanya yao ni kazi bure,cha msingi warudishe fedha za umma
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama Gavana anawajua na anataka kibali cha mahakama,inamaana hata JPM anajua ila ameamua kuyaficha hayo mafisadi yaliyobeba pesa na sandarusi!Mimi nikisikia mtu anasema serikali ya awamu ya tano inapambana na ufisadi nacheka tu "Hiiiiiiiiiiiii..."
Sent using Jamii Forums mobile app