Rai Pazzy
JF-Expert Member
- Jul 6, 2015
- 488
- 184
Kwanini bwashee?!
Kwa hiyo wewe hupendi,acha Mafisadi yote yafikishwe Mahakamani.Ruge anatapa tapa
Angejikita katika kupangua kesi yake,ingeweza kumsaidia zaidi kuliko kujaribu ku 'crowd the deck' ili wafe wengi
Kamanda mkuu wa Ufipa ndio alijitwisha lile sandarusi na kutokomea nalo kusikojulikana!Makada wenu si ndo walibeba mifweza kwenye mifuko ya sandarusi
Hakuna kesi.Ruge anatapa tapa
Angejikita katika kupangua kesi yake,ingeweza kumsaidia zaidi kuliko kujaribu ku 'crowd the deck' ili wafe wengi
Kwa kisukuma kuna msemo unatumika kuwang'ong'a wale wanaojiona ni miamba wa kuwashauri wenzao wafanye ambalo hata wenyewe hawawezi kulifanya (ISAMILA BANYI).Pole Tata Ruge! Kwanini usiuseme ukweli unaoujua juu ya waliochota fedha za wananchi? Sio sahihi sana kukaa na Jambo ambalo wewe unaliona Siri ilihali kwa wengine lipo wazi! Kama Havana wa bot anayajua majina Basi siyo Siri Tena!
Wataje Tena kwa sauti kwani naamini una ushahidi wa kutosha! Huna unaloliogopa Wala kupoteza Bali kuwataja hadharani itakusaidia kuutua mzigo mzito ulioubeba moyoni na huenda ukapata nafuu ya ugonjwa wa moyo! Wataje hata Leo ili historian ikuhukumu kwa haki!
Najua unatoka kabila teule na Kanda pendwa! Na usisahau kushauri ni fani na inasomewa ili uwe mbobezi na hata rais anao washauri japo hupuuzia analoshauriwa kwa kiburi na jeuri ya kikabila chake!Kwa kisukuma kuna msemo unatumika kuwang'ong'a wale wanaojiona ni miamba wa kuwashauri wenzao wafanye ambalo hata wenyewe hawawezi kulifanya (ISAMILA BANYI).
Chonde chonde wasije wakammalizia huko gerezani
Kwa sababu hana cha kupoteza tena ni bora angetaja hayo majina hata akimaliza safari yake duniani either kwa matakwa ya Mungu ama binadamu basi ukweli uwe umejulikana.
Sent using Jamii Forums mobile app