thetallest
JF-Expert Member
- Oct 21, 2017
- 8,256
- 9,085
Uzuri inajulikana na imekwisha kabidhiwa kwa serikali,hata wakifanya yao ni kazi bure,cha msingi warudishe fedha za umma
Sent using Jamii Forums mobile app
Mungu ampiganie huyu Mzee,ila naona sasa draft limeanza kunoga,wahuni wasije fanya yao ili watu wasipigwe supa!!
Sent using Jamii Forums mobile app