Yawezekana jamaa Yuko kolomijeMkuu upo wapi?, hebu tupe chanzo cha habari yako
Kamuone tu hajakatazwa macho yakwako, TV yakwako ,maamuzi yakwako shida ni niniYAANI YOTE HII NI KUPOTEZA MALENGO TUSITAZAME STAR TV ASUBUHI MAKONDA AKIHOJIWA.KWA HILI HATUDANGANYIKI. KILA MTU ANAINGOJEA HIYO KESHO KWA HAMU KUMUONA MAKONDA LIVE.
Macho si yako?? . Kwani umekatazwa kumwangalia bashite mwenzakoYAANI YOTE HII NI KUPOTEZA MALENGO TUSITAZAME STAR TV ASUBUHI MAKONDA AKIHOJIWA.KWA HILI HATUDANGANYIKI. KILA MTU ANAINGOJEA HIYO KESHO KWA HAMU KUMUONA MAKONDA LIVE.
Sijakuelewa kabisa.YAANI YOTE HII NI KUPOTEZA MALENGO TUSITAZAME STAR TV ASUBUHI MAKONDA AKIHOJIWA.KWA HILI HATUDANGANYIKI. KILA MTU ANAINGOJEA HIYO KESHO KWA HAMU KUMUONA MAKONDA LIVE.
Tafsiri rahisi Ruge anamuogopa Utingo.Tv ni yake na hana kazi nyingine kwa nini kesho? Ungefanya hata keshokutwa tu.
Tafsiri rahisi Ruge anamuogopa Utingo.Tv ni yake na hana kazi nyingine kwa nini kesho? Ungefanya hata keshokutwa tu.
Nitakojoa nje ya geti la mjengo wa magogoni pale karibu na feri siku akifanya hivyo.Bashite anataka kuanika vyeti hadharani?
Weeeee,unadhani anapenda kuliamsha tena "dude"........kaa mbali na "dude" wewe,kwanza asaivi "dude" liko GLOBAL.....mambo Sauz Africa.mbinu hii ya Ruge ni kama ile wanayofanyaga clouds kwenye matamasha ya muziki na wapinzani wao, msanii mmoja anafanya show leaders siku hiyo hiyo msanii mwingine anafanya show Dar live.
kesho bashite akijikoroga tu akamtaja Gwajima atakuwa amejichafua zaidi maana Gwajima hatakaa kimya, alafu kuna ugumu kwa Bashite kutomtaja Gwajima kwasababu kisasi chake kwa Gwajima ndio kilichomfikisha hapo.
YAANI YOTE HII NI KUPOTEZA MALENGO TUSITAZAME STAR TV ASUBUHI MAKONDA AKIHOJIWA.KWA HILI HATUDANGANYIKI. KILA MTU ANAINGOJEA HIYO KESHO KWA HAMU KUMUONA MAKONDA LIVE.