Jephta2003
JF-Expert Member
- Feb 27, 2008
- 6,722
- 6,593
Utamuangalia wewe na ukoo wako sisi na clods TV ya waelewaYAANI YOTE HII NI KUPOTEZA MALENGO TUSITAZAME STAR TV ASUBUHI MAKONDA AKIHOJIWA.KWA HILI HATUDANGANYIKI. KILA MTU ANAINGOJEA HIYO KESHO KWA HAMU KUMUONA MAKONDA LIVE.
Sema wewe na familia yako....eti kila mtu!YAANI YOTE HII NI KUPOTEZA MALENGO TUSITAZAME STAR TV ASUBUHI MAKONDA AKIHOJIWA.KWA HILI HATUDANGANYIKI. KILA MTU ANAINGOJEA HIYO KESHO KWA HAMU KUMUONA MAKONDA LIVE.
Subutu, akianika nainamaBashite anataka kuanika vyeti hadharani?
Tatizo la wabongo badala ya kujadili hoja mnamjadili mtoa hoja sasa ukijua kuna madeni so what? Suala ni kusubiri kesho hawa wehu wawili wataongea nini mengine mkiongea hayana tija
Hili beef bado bichi kabisa kama kigori mwenye miaka chini ya kumi na nane.YAANI YOTE HII NI KUPOTEZA MALENGO TUSITAZAME STAR TV ASUBUHI MAKONDA AKIHOJIWA.KWA HILI HATUDANGANYIKI. KILA MTU ANAINGOJEA HIYO KESHO KWA HAMU KUMUONA MAKONDA LIVE.
Kwakweli!Sasa hii ishakua ligi ila kesho yangu macho na masikio huko startv
Tengua kauli asee, sema wewe unaingojea. Utanisemeaje mimi na wakati simuungi mkono Bashite?YAANI YOTE HII NI KUPOTEZA MALENGO TUSITAZAME STAR TV ASUBUHI MAKONDA AKIHOJIWA.KWA HILI HATUDANGANYIKI. KILA MTU ANAINGOJEA HIYO KESHO KWA HAMU KUMUONA MAKONDA LIVE.