YALE
JF-Expert Member
- Apr 20, 2017
- 308
- 379
Halotel anajitegemeaInternet yote unayotumia nchini haijalishi ni mtandao gani inatoka ttcl, makampuni yote ya simu yananunua kutoka ttcl.
Halotel anajitegemeaInternet yote unayotumia nchini haijalishi ni mtandao gani inatoka ttcl, makampuni yote ya simu yananunua kutoka ttcl.
GB 7 kwa 5000 ni kwa mwezi na GB 6.5 kwa 5000 na dkk 75 all networks na unlimited TTCL-TTCL
Mnyonge mnyongeni.. lakini haki yake mpeni.ttcl Kama mtaendelea na Moto huu it's just matter of time kabla hamjawa tena the leading company kwenye upande wa data.
Mnavifurushii vitamu na Bei rafiki kwa uchumi huu wa msukuma Mambo Ni Moto mwendo wa 4g tu.
Bado hawajawafikia tigo labda wewe kama ni mtumiaji wa net tuu lkn bado utaingia gharama ya ziada ya maongezi, wakat tigo wananaliza kila kitu.4g yenye kasi ...siyo 4g jina ila kubwa kuliko Ni vifurushi vyao
Mnyonge mnyongeni.. lakini haki yake mpeni.ttcl Kama mtaendelea na Moto huu it's just matter of time kabla hamjawa tena the leading company kwenye upande wa data.
Mnavifurushii vitamu na Bei rafiki kwa uchumi huu wa msukuma Mambo Ni Moto mwendo wa 4g tu.
Halotel anajitegemea
TTCL kwa sasa wanajitaidi sana mpaka meru vijijini mtandao unapatikana hakika nyumbani kumenonga
Mkuu Mi nipo Voda fanya ivi download Speedtest app ili ufanye kutest eneo lilipo lina coverage gani ndio uamue kutumia hio specific chip mimi naona bundles ziko na mfanano au minor difference kidogo mimi nina chip zote ila tu nimeona voda wako.njema apa nilipoWeka bundles za halotel na tigo ipi yenye unafuu? Nipo mkoani kamanda wangu..
Mkuu Mi nipo Voda fanya ivi download Speedtest app ili ufanye kutest eneo lilipo lina coverage gani ndio uamue kutumia hio specific chip mimi naona bundles ziko na mfanano au minor difference kidogo mimi nina chip zote ila tu nimeona voda wako.njema apa nilipo
Wanatuvutia tu ila baadae watapandisha, halaf pia internet naona haina tatizo kwani hata wateja tunaotumia ttcl hatufiki laki 5
Mtandao fulanj kuwa best inategemea na eneo ulipoBrilliant post.
Naona TTCL wanajua mbinu za marketing lakini wana kwama Ku sustain kwenye soko.
Bado naamini halotel is the best kwenye service zake.
Hakika yametimia ttcl sijuii mnaelekea wapi aise huduma mbovu halafu mkaamua kupandisha na vifurushii dooooh
Jamaa wameongeza vifurishii bei halafu wanaleta wizi wa voda ule mtandao slow kama tigo sijuii hata ni hamie wapi saiviWengine tulishatupilia mbali mazagazaga yao kwani huduma ni full maudhi
Jamaa wameongeza vifurishii bei halafu wanaleta wizi wa voda ule mtandao slow kama tigo sijuii hata ni hamie wapi saivi
Shirika lina haki ya kubadilisha bei wakati wowote inapoonekana inafaaaHakika yametimia ttcl sijuii mnaelekea wapi aise huduma mbovu halafu mkaamua kupandisha na vifurushii dooooh
SeenUmemaliza kila kitu mkuu umeongea ukweli mtupu. I hope management y ttcl waone hii.