mysimu
Senior Member
- May 2, 2017
- 151
- 44
Nahitaji lain ya ttcl nitaipata wapi hapa dar? Niko puguKulikoni Wilayani wako hao ttcl
Au ndio wamejikita mjini tu?
Halotel walichofanikiwa ni kujikita vijijini wakiamini kila aliye mjini ana Ndugu Yake kijijini,
Kwa hilo wamefanikiwa sana lakni hawa ttcl wana minara maeneo mengi ya nchi sijui wanaifanyia mini au minara yao ya kizamani?