Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,746
- 25,639

Hizi ni gear za kuingia kwenye market tu subiri wateja wawe wengi utarudi hapa kulaani


Hizi ni gear za kuingia kwenye market tu subiri wateja wawe wengi utarudi hapa kulaani

Now wapo poa sana sio kama zamani.Mnyonge mnyongeni.. lakini haki yake mpeni.ttcl Kama mtaendelea na Moto huu it's just matter of time kabla hamjawa tena the leading company kwenye upande wa data.
Mnavifurushii vitamu na Bei rafiki kwa uchumi huu wa msukuma Mambo Ni Moto mwendo wa 4g tu.
Hakika yametimia ttcl sijuii mnaelekea wapi aise huduma mbovu halafu mkaamua kupandisha na vifurushii dooooh




Mmmmmh najutaaNow wapo poa sana sio kama zamani.
Vifurushi vipya vinakuja soon.Hakika yametimia ttcl sijuii mnaelekea wapi aise huduma mbovu halafu mkaamua kupandisha na vifurushii dooooh
Pole sana mkuu.Kwa mfano leo walikuwa down almost siku nzima.Wameanza kuzingua sana.vifurushi ni ghali sana.hakuna sababu yoyote ya kurudi nyumbani
✓Acha kulalamika kuwa mzalendoHakika yametimia ttcl sijuii mnaelekea wapi aise huduma mbovu halafu mkaamua kupandisha na vifurushii dooooh