Walienda kinyume cha maadili ya KAZI zao.Wasalaam..!
Nimemsikia Mh: Rais leo akiwatuma IGP na Mkurugenzi wa TAKUKURU wawafikishie salam vijana wao wa mkoa wa Arusha na kuwapa onyo la mwisho kwani nao ilibidi wapigwe panga! Kwani wamefanya nini?
Wenye information mtujuze tafadhali
thanks kiongozi, nimepitia hiyo link lakini sijaona uhusika wa RPC wala Mkuu wa Takukuru-Arusha!Ngoja nikuletee link hapa
Sakata la Ugomvi baina ya RC Gambo na Mkurugenzi wa Jiji Arusha lashika kasi
arusha
RPC Shana umekoswakoswa ya dhahabu Mwanza na umekoswa mgogoro wa Arusha; hii ya kujipendekeza CCM kupitiliza itakuletea shida. Linda maadilithanks kiongozi, nimepitia hiyo link lakini sijaona uhusika wa RPC wala Mkuu wa Takukuru-Arusha!
Wametaka kumkamata mwana ccm aliyetaka kutoa rushwa hilo ndilo kosa lao.Wasalaam..!
Nimemsikia Mh: Rais leo akiwatuma IGP na Mkurugenzi wa TAKUKURU wawafikishie salam vijana wao wa mkoa wa Arusha na kuwapa onyo la mwisho kwani nao ilibidi wapigwe panga! Kwani wamefanya nini?
Wenye information mtujuze tafadhali