Sexer
JF-Expert Member
- Oct 22, 2014
- 8,513
- 8,276
Mkuu umejitahidi sana kuliko wote humu, umekosea kidogo tu, ni kwamba Inspector Genaral of Police ni Cheo ndani ya Police Tanzania.Mkuu tofautisha vyeo, kijeshi General ni cheo na madaraka yake ni CDF, Iko tofauti kwenye polisi, IGP ni madaraka na cheo chake ni Commissioner.
Narudia tena General ni cheo na hapo kuna cheo kingine juu yake yaani Field Marshal
Mfano leo hii kama Mabeyo akiondolewa madaraka yake ya CDF basi atabaki na cheo chake cha Jenerali. Lakini Sirro akiondolewa madaraka yake ya IGP atabaki kuwa Kamishna.
"رمضان كريم وصوم مقبول"
Sent using Jamii Forums mobile app