fredo fred
JF-Expert Member
- Oct 17, 2015
- 748
- 1,626
Andengenye hajawahi kuwa CP ila alikuwa ni SACP
SACP alikuwa kipindi hicho zaman sana kipind akiwa Rpc wa moro nadhan then akapanda kuwa DCP mpaka CP fuatilia mkuu kipindi anateuliwa alikuwa CP na sasa hivi anatumikia cheo cha CP baada ya kutenguliwa
Sent from my iPhone using JamiiForums