RPC Arusha na ulinganishi wa vyeo JWTZ na PT

RPC Arusha na ulinganishi wa vyeo JWTZ na PT

Cheo cha mwisho Polisi ni Commissioner na cheo cha mwisho kijeshi ni Field Marshal.

"رمضان كريم وصوم مقبول"

IMG_8796.JPG

Mimi binafsi nakubaliana ha hii comment ya Mr piano



Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Nashukuru kwa ufafanuzi wenu, watu walinishukia kama mwewe wakijua kuwa sijui nisemalo
Mkuu tofautisha vyeo, kijeshi General ni cheo na madaraka yake ni CDF, Iko tofauti kwenye polisi, IGP ni madaraka na cheo chake ni Commissioner.
Narudia tena General ni cheo na hapo kuna cheo kingine juu yake yaani Field Marshal
Mfano leo hii kama Mabeyo akiondolewa madaraka yake ya CDF basi atabaki na cheo chake cha Jenerali. Lakini Sirro akiondolewa madaraka yake ya IGP atabaki kuwa Kamishna.

"رمضان كريم وصوم مقبول"
Naomba tukubaliane kutokubaliana[emoji120][emoji120] kwa Muktadha huu kuna mtu atakuja niambia kuwa OCS, OCD,RPC and DCI ni rank lakini hazina nembo rami kama ilivyo IGP (Rank=Nembo rasmi)

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu yangu kuelewa shida wewe [emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ni hivi rank zinaanzia kwa constable hadi CP lakini among hao CP mmoja tu ndo atachaguliwa kuwa IGP ambacho ni cheo cha madaraka ikiwa na maana kwamba mfano akitenguliwa na rais anarud kwenye cheo chake cha kawaida ambacho ni CP.

Mfano Thobias Andengenye alikuwa ni CP ila aliteuliwa na rais kuwa mkuu wa jeshi la zimamoto na uokoaji ambacho ni cheo cha madaraka ila baada ya kutumbuliwa na rais hiv Karibun amerud kwenye cheo chake cha CP.


Sent from my iPhone using JamiiForums

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unafahamu brigdea Gen anasimamia Watu , vifaa na silaha vya kiwango/idadi na
gan?! Ungelijua hilo nafikiri usingechukulia pouwa, kwa lugha yako ya kipumbavu!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Angalia uteuzi wa Rais katika kutoa kurugenzi za vyombo mbalmbali. Usipate tabu sana. Akiteua Polisi huwa wa cheo gani na akiteua jwtz huwa wa cheo gani. Naamini hapo patakusaidia kuelewa maana ya hivyo vyeo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu tofautisha vyeo, kijeshi General ni cheo na madaraka yake ni CDF, Iko tofauti kwenye polisi, IGP ni madaraka na cheo chake ni Commissioner.
Narudia tena General ni cheo na hapo kuna cheo kingine juu yake yaani Field Marshal
Mfano leo hii kama Mabeyo akiondolewa madaraka yake ya CDF basi atabaki na cheo chake cha Jenerali. Lakini Sirro akiondolewa madaraka yake ya IGP atabaki kuwa Kamishna.

"رمضان كريم وصوم مقبول"
weeee,afadhali umekuja nilipokuwa nakusubiri.

kwa taarifa yako,siro anapiga salute kwa mangu,ndio maana mara baada ya kutenguliwa hakuripoti makao ya polisi,alikuwa analala nyumbani kwake.

cheo cha igp ni cha juu kabisa,kama atapewa kijana wa miaka 25,akamaliza na rais baada ya miaka 10,yaani akiwa na miaka 35,inabidi akalale hawezi rudia nguo za zamani sababu muda haujaisha.

ila kama akipewa majukumu mengine nje ya polisi kutokea hapo kwenye ukamishna,kama yule aliyekuwa takukuru sawa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
weeee,afadhali umekuja nilipokuwa nakusubiri.

kwa taarifa yako,siro anapiga salute kwa mangu,ndio maana mara baada ya kutenguliwa hakuripoti makao ya polisi,alikuwa analala nyumbani kwake.

cheo cha igp ni cha juu kabisa,kama atapewa kijana wa miaka 25,akamaliza na rais baada ya miaka 10,yaani akiwa na miaka 35,inabidi akalale hawezi rudia nguo za zamani sababu muda haujaisha.

ila kama akipewa majukumu mengine nje ya polisi kutokea hapo kwenye ukamishna,kama yule aliyekuwa takukuru sawa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Chief umechelewa hapo sipo ulipokuwa unanisubiri, vyeo kikawaida wa mwanzo ni mwanzo tu hata iweje na hata kwenye madaraka ni hivyo hivyo, alietangulia ametangulia tu na hata akiachia madaraka Kamwe hatokuwa sawa na aliyemfuatia, unalijua hilo. Hata Kikwete alikuwa rais kabla ya Magufuli na umeona wapi Kikwete akamsalimia Magufuli zaidi ya Magufuli kumsalimia Kikwete?! Umechelewa wapi kulijua hilo. Itabaki inasomeka Aliyekuwa IGP lakini haiwi kinyume na hapo, na kinachosomeka ni madaraka ya mwisho aliyoshika.[emoji2445][emoji2445][emoji2445]
Tunasema alietangulia ametangulia na heshima yake itabaki pale pale kutokana na madaraka aliyoshika pamoja na madaraka yake ya mwisho.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yuko sahihi Assistant Commissioner ni sawa na Canal kwa TPDF rank ya juu yake kwa TPDF ni Brigadea General na Senior Assistant Commissioner kwa wizara ya mambo ya ndani, sijui kuhusu salary scale over.
Acha uongo kama hujui kaa kimya
ACP ni sawa na Major wa JW
 
Nimekuunga mkono Mkuu....Watu wanafikiri Brigdea Jeneral ni cheo kikubwa sana jeshini kumbe cha kawaida tu ..
Ni cha kawaida tu lakini unatakiwa ujue anasimamia kanda ni tofauti na mtu anaesimamia mkoa tu. Kanda ni kubwa kuliko mkoa. Zamani kabla ya mgawanyo wa kimikoa kama sahivi kulikuwa na kanda, Kanda ya mashariki ilijumuisha mikoa kama, Dar, Pwani na Morogoro. Sasa hebu sema wewe ni kawaida kivipi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu yangu kuelewa shida wewe [emoji28]🤣🤣🤣 ni hivi rank zinaanzia kwa constable hadi CP lakini among hao CP mmoja tu ndo atachaguliwa kuwa IGP ambacho ni cheo cha madaraka ikiwa na maana kwamba mfano akitenguliwa na rais anarud kwenye cheo chake cha kawaida ambacho ni CP.

Mfano Thobias Andengenye alikuwa ni CP ila aliteuliwa na rais kuwa mkuu wa jeshi la zimamoto na uokoaji ambacho ni cheo cha madaraka ila baada ya kutumbuliwa na rais hiv Karibun amerud kwenye cheo chake cha CP.


Sent from my iPhone using JamiiForums
Andengenye hajawahi kuwa CP ila alikuwa ni SACP
 
Juzi nilikuta Jamaa wa magereza analalamika Private amempita bila Hata salute yani maeneo flani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kwamba jamaa wa jeshi wanajiona wao ni special sana yani Mwana private kampita kama hamjui Mwana wa magereza ana V tatu begani...!!!

Kiufupu Jeshi litabaki kuwa Jeshi tu..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
jamani ndugu zangu mjadala usiwe mrefu ipo hivi Watu wakisema Makamishna wa Polisi ambao wametunukiwa na Rais wanatakiwa kujua wanaanzia cheo gani...
ACP,SACP,DCP,CP,DIGP,IGP hawa ndio makamishna ambao wametunukiwa na Rais, COMMISION BY PRESIDENT........tofauti na hawa wa vyeo hivyo wengine wote kushuka chini hawapigiwi Saluti na Private wa JWTZ maana wao hawajapewa na Rais (Non Commision Offcers)..
IGP wa Polisi ana hadhi sawa na MAJOR GENERAL wa JWTZ ( 2 star general)...
 
Hivi bado mnaendelea na ubishi?IGP ni cheo cha mwisho katika Polisi.Hadhi yake ni sawa na two 🌟 🌟 general (major general katika jeshi).Kuna hoja watu wanasema General sio cheo bali madaraka,si kweli!Mfumo wa vyeo vya kijeshi ni dunia nzima.

Hata CDF wa JWTZ wa Kwanza alikuwa ni major general Mrisho Sarakikya,Kwa kipindi hicho major general ndio kilikuwa cheo kikubwa katika JWTZ.Baadae akaja major general Abdalah Twalipo,baada ya vita ya Kagera akapanda cheo na kuwa General kamili.Genaral Twalipo ndiye wa Kwanza kupata cheo cha general katika JWTZ.

Kwa hiyo CDF ni madaraka na "general" ni cheo.Kwa mfano USA jeshi lao lina generals zaidi ya mmoja.Kwa hiyo jeshi lao linaongozwa na baraza la majenerali (Joint chiefs of staff)ambapo kunakuwa na mwenyekiti wa baraza hilo(Chairman of joint chiefs of staff) na ndiye mwenye kutoa kauli ya mwisho Kwa niaba ya baraza.
 
Back
Top Bottom