RPC Arusha na ulinganishi wa vyeo JWTZ na PT

RPC Arusha na ulinganishi wa vyeo JWTZ na PT

Ndugu yangu kuelewa shida wewe [emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ni hivi rank zinaanzia kwa constable hadi CP lakini among hao CP mmoja tu ndo atachaguliwa kuwa IGP ambacho ni cheo cha madaraka ikiwa na maana kwamba mfano akitenguliwa na rais anarud kwenye cheo chake cha kawaida ambacho ni CP.

Mfano Thobias Andengenye alikuwa ni CP ila aliteuliwa na rais kuwa mkuu wa kikosi cha zimamoto na uokoaji ambacho ni cheo cha madaraka ila baada ya kutumbuliwa na rais hiv Karibun amerud kwenye cheo chake cha CP.


Sent from my iPhone using JamiiForums
Nielekeze polepole ndugu nitarlewa tu[emoji120][emoji120][emoji120] Rank ya andengenye alipokuwa mkuu wa zimamoto ni ili? Na mambo yake?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huwa nawashangaa sana mtu anajifanya yuko juu ya sheria kisa tuu kavaa gwanda la jeshi ama ana nyota wakati hana maisha wala hela kikubwa unakuta ana kigari cha mkopo,huko mtaani tumeona watu walikuwa hadi CO ila leo ni maskini wa kutupwa,sisi huwa tunawangalia tuu
 
Nielekeze polepole ndugu nitarlewa tu[emoji120][emoji120][emoji120] Rank ya andengenye alipokuwa mkuu wa zimamoto ni ili? Na mambo yake?

Sent using Jamii Forums mobile app

Alipokuwa fire alikuwa Commissioner general of the Tanzania fire and rescue kabla ya hapo alikuwa police commissioner na baada ya kutumbuliwa akarudi kuwa police commissioner


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Alipokuwa fire alikuwa Commissioner general of the Tanzania fire and rescue kabla ya hapo alikuwa police commissioner na baada ya kutumbuliwa akarudi kuwa police commissioner


Sent from my iPhone using JamiiForums
Naomba tukubaliane kutokubaliana[emoji120][emoji120] kwa Muktadha huu kuna mtu atakuja niambia kuwa OCS, OCD,RPC and DCI ni rank lakini hazina nembo rami kama ilivyo IGP (Rank=Nembo rasmi)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naomba tukubaliane kutokubaliana[emoji120][emoji120] kwa Muktadha huu kuna mtu atakuja niambia kuwa OCS, OCD,RPC and DCI ni rank lakini hazina nembo rami kama ilivyo IGP (Rank=Nembo rasmi)

Sent using Jamii Forums mobile app

Hapana hizo sio ranks bali ni madaraka waliyopewa kikazi mkuu nakubaliana na wewe kuwa hizo sio ranks za police bali ni madaraka tu waliyokabidhiwa


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
kwani kamishna anaanzia cheo kipi maana naona pombe kibao humu!!!!!

halafu unaposema ni cheo sio rank unakuwa unamaanisha kitu gani!!!au ulikusudia kusema madaraka!!!


Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo lako mkorintho huwa ni mnazi sana.
Rank zote huwa zinapatikana kwa kuhitimu kozi flani.
Ninamaanisha rank ya juu kabisa ya polisi ni kamishna...katikati ya makamishna ndipo ndipo mmoja wapo huteuliwa kuwa IGP sawa na utumishi wake jeshini.
Note; kuna makamishna wengi lakini IGP ni mmoja tu...hiki ni cheo cha kiutwala na sio rank
 
Mkuu wa majeshi ya ulinzi Tanzania General Mabeyo VS Mkuu wa jeshi la polisi Tanzania IGP Sirro
Yote hayo ni madaraka tu ndo maana wote wanachaguliwa na raisi na muda wao ukiisha wanakuja wengine na wao wanarudi kwenye vyeo vyao vya kawaida kama jwtz anarud kuwa Lieutenant General and police anarud kuwa CP


Sent from my iPhone using JamiiForums
Mkuu tofautisha vyeo, kijeshi General ni cheo na madaraka yake ni CDF, Iko tofauti kwenye polisi, IGP ni madaraka na cheo chake ni Commissioner.
Narudia tena General ni cheo na hapo kuna cheo kingine juu yake yaani Field Marshal
Mfano leo hii kama Mabeyo akiondolewa madaraka yake ya CDF basi atabaki na cheo chake cha Jenerali. Lakini Sirro akiondolewa madaraka yake ya IGP atabaki kuwa Kamishna.

"رمضان كريم وصوم مقبول"
 
Mkuu tofautisha vyeo, kijeshi General ni cheo na madaraka yake ni CDF, Iko tofauti kwenye polisi, IGP ni madaraka na cheo chake ni Commissioner.
Narudia tena General ni cheo na hapo kuna cheo kingine juu yake yaani Field Marshal
Mfano leo hii kama Mabeyo akiondolewa madaraka yake ya CDF basi atabaki na cheo chake cha Jenerali. Lakini Sirro akiondolewa madaraka yake ya IGP atabaki kuwa Kamishna.

"رمضان كريم وصوم مقبول"

Nikweli CDF Na IGP vyote ni madaraka tu


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Nikweli CDF Na IGP vyote ni madaraka tu


Sent from my iPhone using JamiiForums
Cheo cha mwisho Polisi ni Commissioner na cheo cha mwisho kijeshi ni Field Marshal.

"رمضان كريم وصوم مقبول"
 
Cheo cha mwisho Polisi ni Commissioner na cheo cha mwisho kijeshi ni Field Marshal.

"رمضان كريم وصوم مقبول"

Tz mwisho General


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
JWTZ ____polisi
Lt usu = assistance inspector
LT. = inspector
Captain =ASP
MEJA =SP
LT. COLONEL =SSP
COLONEL =ACP
BRIGEDIA GENERAL. =SACAP
MEJA GENERAL. =DCP
LT GENERAL =CP
GENERAL. =IGP

Note: wakikutana afisa wa jwtz na afisa wa polisi wanao lingana vyeo, afisa wa polisi atampigia saluti afisa wa jwtz kwa sababu JWTZ ndio jeshi SNR. But wakikutana mmoja anamzidi mwingine cheo, protoco za kijeshi lazima zifuatwe mdogo kumsalimia mkubwa.

Duuh hatari yaani wanabebwa kirahisi hivi!!
 
Back
Top Bottom