Bado mjadala unaendelea !! Nikweli inabidi tukae kimya maana haituhusu mtalumbana bingwa akipatikana basi mtujulishe.Ingawa inafikirisha sana kwamba hao wanaojadili wana vyeo gani?kwani wenyevyeo husika wasitoe ufafanuzi hii imekaa kama unapokuwa mtoto unaamini baba yako ndiyo mwenyenguvu kuliko wote na akili kuliko wote.