RPC Arusha na ulinganishi wa vyeo JWTZ na PT

RPC Arusha na ulinganishi wa vyeo JWTZ na PT

Wewe hujui kitu ni mshabiki tu kwa kusikia vijiweni. Zamani instructors wengi wa jeshi hawakuwa na elimu ya kutosha na ndio waliwakaririsha watu uongo. Mnaongea tu from no where, hamuweki hata reference moja. Mmewekewa vifungu vya katiba, sheria za bunge, maana ya commissioned officer. Lakini bado mnabisha bila hoja yoyote. Eti Commissioner wa Polis sawa na Luteni usu, hivi nyinyi mna akiri kweli [emoji23][emoji23][emoji23] hivi mnajua hata mshahara wa commissioner au mnaongea tu.
Hv huyo commission officer analingana mshahara na meneja wa shirika lolote lile au hakimu????? Swala la mishahara kila idara inautaratibu wake na ndio maana inatofautiona usikariri kijana
 
Hizo ni hekaya za abunuwasi. Hakuna sheria ya kumuweka afisa au askari mahabusu kwa kutosaluti. Na huwezi kufananisha TPDF na polisi au magereza ni vitu tofauti kimuundo mpaka majukumu.
Wanakaaa tu bila tabu kijeshi Ni kosa kuto mpa heshima senior wako na unatakiwa upewe adhabu
 
Amirijeshi sio cheo cha kijeshi bali ni cha kisiasa, cheo cha juu kijeshi ni Field marshall
Hiki cheo ndio kwetu sisi ndio cheo kikubwa cheo cha kisiasa ni rais Amir jeshi ana gwanda lake na vyeo vyake mfano Magu amewai kuvaa gwanda lenye cheo au Uhuru Kenyatta
 
Mgambo ni jeshi la akiba.
Na wewe ni miongoni wanaoamini kuwa Polisi sio Jeshi? Kama ndivyo naomba unijibu ume refer wapi hiyo ya mgambo ni Jeshi la akiba na Polisi sio Jeshi. Kipi kinakufanya uite mgambo ni Jeshi.
 
Hv huyo commission officer analingana mshahara na meneja wa shirika lolote lile au hakimu????? Swala la mishahara kila idara inautaratibu wake na ndio maana inatofautiona usikariri kijana
Ni kweli kabisa mshahara hauwezi kuwa kigezo, ila ni upumbavu kumlinganisha CP na Luteni usu.

Ila kwa kiasi fulani tunaweza kutumia mishahara tukapata kamwanga kidogo ukatuongoza, ndomana mshahara wa Luteni usu na A/Insp haipishani sana, sasa ukija kulinganisha kati ya mshahara wa Luteni Usu na wa huyo CP utaona utofauti uliopo ni kama mbingu na ardhi. Kwahiyo kwa Mwenye akili akirejea Katiba ibara ya 147 na 150 hawezi kufanya ulinganifu wa kijinga hivyo usiokuwa hata na reference.
 
all in all, wote jiwe huwaita VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA ,
HATA MKIKAA HAPA MNABISHANA TU BILA KULETA ANY VALID DOCUMENT haitosaidia
 
Na wewe ni miongoni wanaoamini kuwa Polisi sio Jeshi? Kama ndivyo naomba unijibu ume refer wapi hiyo ya mgambo ni Jeshi la akiba na Polisi sio Jeshi. Kipi kinakufanya uite mgambo ni Jeshi.
Kwani hiyo ni imani? Nijuavyo mimi imani ni mfumo wa kimaisha ambao mtu huufuata ili umuongoze kwa maisha ya hapa duniani na maisha ya baada ya kuondoka hapa duniani.
 
Hiki cheo ndio kwetu sisi ndio cheo kikubwa cheo cha kisiasa ni rais Amir jeshi ana gwanda lake na vyeo vyake mfano Magu amewai kuvaa gwanda lenye cheo au Uhuru Kenyatta
magu alivaa gwanda lenye kofia yenye maandishi cic,commander in chief.

kenyata alivaa kihuni tu bila kujua maana yake,alivaa gwanda lenye nyota 5.maana yake ni field marshal.cheo kigumu kabisa jeshini ndio maana ni adimu,sifa moja wapo ni kuongoza vita 10 na kushinda zote.
 
Hivi hawa polisi kwanini huwa wanajiita "jeshi" la polisi?

Tangu lini polisi ikawa jeshi?

Wana inferiority complex??
 
Ni kweli kabisa mshahara hauwezi kuwa kigezo, ila ni upumbavu kumlinganisha CP na Luteni usu.

Ila kwa kiasi fulani tunaweza kutumia mishahara tukapata kamwanga kidogo ukatuongoza, ndomana mshahara wa Luteni usu na A/Insp haipishani sana, sasa ukija kulinganisha kati ya mshahara wa Luteni Usu na wa huyo CP utaona utofauti uliopo ni kama mbingu na ardhi. Kwahiyo kwa Mwenye akili akirejea Katiba ibara ya 147 na 150 hawezi kufanya ulinganifu wa kijinga hivyo usiokuwa hata na reference.
Unajuwa watu wanashindwa elewa ukitaka kutawala vizur lazima Kuna sehemu uwape upendeleo kidogo hata Yale mawazo ya kupindua nchi yasiwepo.

Na ndio maana Kuna sehemu wanaweza kuwa juu kimaslah kushinda sehemu nyingne huwez kushindanisha TISS,POLICE,JWTZ, MAGEREZA,FIRE Hawa wote hawalingani kimaslah na wakilingna Hawa Kuna mmoja lazima alianzishe.

Na utaratibu wa kijeshi hakuna commission Wala uko pale pale katika salute na heshima iko pale pale
Nilishawahi fundisha peace keeping pale msata kwa askar wanaoenda congo wanna mambo ya ajabu Sana ila niliwachana wakaelewa somo vizuri japo walichukia lakin nilikuwa na wajumbe wa UN na shirika letu lilikuwa linatoa lecture pale kuhusu vyeo hv hv vinavyo bishaniwa hapa .
 
Kwanza polisi ni idara ya mambo ya ndani . sio jeshi. Hakuna ulinganifu. Polisi linganisha na magereza, uhamiaji na zimamoto. Hata wasabato na nyota!!!
kwa lughaya kikoloni je waitwe POLICE ARMY? + Immigration army + rescue and fire brigade army + Intelligence army + national service army!! ( Ila kwa national service kuna army kama trainers lakini wale wa mujibu ama kujitolea sio army!! ndio maaan hutwa service......Kama ni police Force sawa sio ARMY!!
 
Kenya wao kwenye muundo wao wameweka na mlinganisho huu hapa
[emoji116][emoji116][emoji116]
Screenshot_20190911-204942.jpeg


Na ukitaka kuangalia kuhusu mlinganisho ingia kwenye Police ranks
 
Hiki cheo ndio kwetu sisi ndio cheo kikubwa cheo cha kisiasa ni rais Amir jeshi ana gwanda lake na vyeo vyake mfano Magu amewai kuvaa gwanda lenye cheo au Uhuru Kenyatta
Hakuna cheo duniani kinachoitwa amiri jeshi
 
Husna alikuwa means kinouma.Alikuwa kafungasha nyuma.Kuna bite alikuwa mzuri sana Kuna raida alikuwa kama teja hivi.Kabeya tall hii na English ya this time tomorrow. Wame mtata.IBRA mtata..kipele fala tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]Pamoja sana comrade...
 
Back
Top Bottom