Ndumbayeye
JF-Expert Member
- Jan 31, 2009
- 7,420
- 4,033
Acp anategemewa saa yoyote kuwa commissioner, na ma Igp ni one of commissioners!acha uongo! hamfikii hata meja wa jeshi
Sent using Jamii Forums mobile app
Acp anategemewa saa yoyote kuwa commissioner, na ma Igp ni one of commissioners!acha uongo! hamfikii hata meja wa jeshi
Wengi hawajui hiliUsisahau kuwa IGP ni cheo na sio rank.
CP ndio rank ya mwisho kwa polisi, so CP yoyote aweza kuteuliwa kuwa IGP
Sent using Jamii Forums mobile app
kwani kamishna anaanzia cheo kipi maana naona pombe kibao humu!!!!!Usisahau kuwa IGP ni cheo na sio rank.
CP ndio rank ya mwisho kwa polisi, so CP yoyote aweza kuteuliwa kuwa IGP
Sent using Jamii Forums mobile app
Usisahau kuwa IGP ni cheo na sio rank.
CP ndio rank ya mwisho kwa polisi, so CP yoyote aweza kuteuliwa kuwa IGP
Sent using Jamii Forums mobile app
Usisahau kuwa IGP ni cheo na sio rank.
CP ndio rank ya mwisho kwa polisi, so CP yoyote aweza kuteuliwa kuwa IGP
Sent using Jamii Forums mobile app
Usisahau kuwa IGP ni cheo na sio rank.
CP ndio rank ya mwisho kwa polisi, so CP yoyote aweza kuteuliwa kuwa IGP
Sent using Jamii Forums mobile app
IGP ni cheo rasmi cha kipolisi...But CDF ni madaraka ndio maana CDF wa JMT ni General Mabeyo....Lakini huwezi sema IGP wa JMT ni Commissioner Sirro.IGP ni cheo cha madaraka na hivyo hivyo hata general ni cheo cha madaraka pia ndo maana huwa wote wanateuliwa na rais
Sent from my iPhone using JamiiForums
IGP ni cheo rasmi cha kipolisi...But CDF ni madaraka ndio maana CDF wa JMT ni General Mabeyo....Lakini huwezi sema IGP wa JMT ni Commissioner Sirro.
Sent using Jamii Forums mobile app
IGP ni cheo rasmi cha kipolisi...But CDF ni madaraka ndio maana CDF wa JMT ni General Mabeyo....Lakini huwezi sema IGP wa JMT ni Commissioner Sirro.
Sent using Jamii Forums mobile app
IGP ni cheo rasmi cha kipolisi...But CDF ni madaraka ndio maana CDF wa JMT ni General Mabeyo....Lakini huwezi sema IGP wa JMT ni Commissioner Sirro.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mimi nina swali moja kutokana na maelezo yako.
Kama IGP ni cheo na sio madaraka kwa nini Tanzania nzima tuna IGP mmoja tu kwa wakati uliopo?
Nilitegemea kama ni cheo basi Tanzania nzima pangekuwa na IGP hata 20.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba unijibu Rank Za polisi zinaanzia ili mpaka ipi?? Je wakati Sirro anaapishwa Mangu alikuwa na cheo gani? Then nitakuelewa...Nimemuelewesha hapo juu natumaini ataelewa na bora umekazia hapo kama kingekuwa ni cheo maana yake tungekuwa Na IGP zaid ya mmoja ila haipo hivyo
Sent from my iPhone using JamiiForums
Naomba unijibu Rank Za polisi zinaanzia ili mpaka ipi?? Je wakati Sirro anaapishwa Mangu alikuwa na cheo gani? Then nitakuelewa...
Sent using Jamii Forums mobile app
Rank za police zinaanzia kwenye constable mpaka CP then IGP.
Sirro alikuwa CP
Sent from my iPhone using JamiiForums
Kwa hiyo tuhitimishe kwamba "IGP wa JMT ni Commissioner Sirro"????Rank za police zinaanzia kwenye constable mpaka CP then IGP.
Sirro alikuwa CP
Sent from my iPhone using JamiiForums
Sidhani kama kuna mwenye monopoly ya taarifa...Jukwaa lipo kwa ajili ya kujifunza sio kujua nani unajua zaidi..Na kwa message yako pia najifunza.Humu hata wanaobishana sio wanajeshi ni wahuni tu waliotoka huko jkt nao wanajiona maafande.
Pathetic
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo inasema official Rank ya mwisho ya police ni CP?View attachment 1445663
Sent using Jamii Forums mobile app