Sawa kamanda yote kati ya yote nimegundua hata sheria za kijeshi zimeleta mkanganyiko mkubwa ktk kumtambua afisa wa polisi, ipo ile sheria ya kivita ya Geneva(LOW) imesema , "afisa wa polisi atahesabika kama raia kwenye eneo ambalo vita inapigana". Hapa anamaanisha kwamba kama hakuna vita polisi atabaki kuwa askari.Ila wakati huo huo inatumbua polisi kama 'Civil authority' hapa marekebisho yanahitajika.
Ila kingine nimegundua wanajeshi watz wengi mpo nyuma kwenye suala zima la kusoma katiba mnayojifanya kuilinda, mnalinda katiba ambayo hamjui content yake(huu ni ujuha wa kiwango cha seruji iliyoganda). Katiba inawatambua polisi kama jeshi kamili ila anatokea mtu mwenye elimu ndogo anakwambia polisi ni raia(sio jeshi).[emoji23][emoji23]
View attachment 1205274