mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 32,086
- 39,579
[emoji16][emoji16][emoji16]Ngoja makanali na maDC waje kujibu
[emoji16][emoji16][emoji16]Ngoja makanali na maDC waje kujibu
Nilikuwa naota Mkuu ...nilimaanisha ili amfkie General ataruka hatua nne ...ndo apate cheo cha General .Wewe unasema Brigadier general ni cheo cha kawaida kweli?
kama mkuu wa wilaya[emoji16][emoji16][emoji16]
unajua dc na cornel wanapishana pesa ngapi kijana,haya mambo unatakiwa utulize sana akili,sio ushabiki.
kama mkuu wa wilaya[emoji16][emoji16][emoji16]
unajua dc na cornel wanapishana pesa ngapi kijana,haya mambo unatakiwa utulize sana akili,sio ushabiki.
Huko shuleni ulikwenda kusomea ujinga?Wewe afisa wa jeshi mwenye elimu ya kidato cha sita naomba tuelewane naposema para means nusu(usu)
Non means ukanusho, kwahiyo 'Non paramilitary' anamaanisha sio jeshi usu bali ni jeshi kamili.Naomba tuelewane!!
Pia fasili imeenda mbali zaidi na kusema "may contain military elements"(kama vile shughuli za ulinzi na usalama)ambazo hata jeshi mnazifanya na ndio maana kuna baadhi ya nchi mfano Kenya, polisi wanalinda mipaka.
Ila police wanafursa nyingi sana kuliko Jw ndo mana police unawakuta wako vzr masuala ya nyumbanNa ukiona unapigiwa salute na watu wengi basi ujue hata mshahara wako utakuwa juu
Fahamu jeshini wanasomea siasa na kikwete alikuwa mwalimu wa siasa jeshini piga kimya Kama huelew mamboHuyo nyota tatu wa polisi ni gazetted officer huyo wa jeshi nyota moja ni kamishina officer ndio maana utaona luteni Chiku Galawa akawa mkuu wa mkoa kitu ambacho kwa polisi hakiwezekani mpaka uwe Senior sana kama kina Mambo now
Hivi kanda na mkoa ipi kubwa?brigade ni kanda sio mkoa.
hapa ndio utajua rpc anajua anachokiongea.
kanda kubwa mkuu.Hivi kanda na mkoa ipi kubwa?
majorNa Surgent na Major nani analipwa zaidi?
Sawa.kanda kubwa mkuu.
Mkuu mimi sijafika level ya ukanali na sijui kuhusu malipo yao[emoji16][emoji16][emoji16]
Sergeant na sio surgentNa Surgent na Major nani analipwa zaidi?
sawa mkuu nimekubali.Mkuu mimi sijafika level ya ukanali na sijui kuhusu malipo yao
Unayumba sana wewe constable suguInamaanisha sio jeshi usu bali ni full-force kitu gani hujaelewa hapo kamanda.
Pamoja sana mkuusawa mkuu nimekubali.
major
Sergeant na sio surgent
Ngoja nimjibie: Non paramilitary means its not ½military not military at all[emoji38][emoji38][emoji38][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wewe mzee non paramilitary means what??