Utingo
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 10,270
- 8,037
kweli kabisa. Maana kwa fikra za kawaida hii nchi inavyokwenda ni kama haina mwenyewe. Leo linaamuliwa jambo na kutangazwa, kesho linafutwa na mbaya zaidi anaepaswa kutoa kauli hata hajui kinachoendelea. Ni kama vile na yeye anagundua mambo mengi baada ya kutangazwa. Ni wazi hayupo sehemu ya maamuzi aidha kwa kuogopa majukumu ama kwa kusudio la waliomuweka
as long as zanzibar is progressing under hussein mwinyi. she doesnt care about Tanganyika. atakula bata kwenda mbele. Akina majaliwa wasiposhtuka wakafanya kazi na kusimamia wizara na idara kwa umakini 2025 watapata shida sana ilhali yeye atakuwa on her way to Makunduchi for retirement