Ndugai hana tofauti na Israel mtoa roho.Ndugai atakuwa amefura[emoji23
Nani alikuambia analipwa mshahara?Sasa J J Mnyika anatoa wapi mshahara wake na wasaidizi wake?
Hili jambo linafikirisha kidogoMimi sijawahi kuwaona na nimetembea mikoa yote Bongo labda kidogo warangi ndio utakutana nao mmoja mmoja
Endelea kukariri!Gwajima,
Amepanda mapa ya mwisho,mwezi ujao anavuliwa uanachama na maccm .
Katiba ya Chadema!Nani alikuambia analipwa mshahara?
Amandla...
KWahiyo bwashe mshahara ni matumizi mabaya ya ruzuku? Au mimi ndio sielewi hasa neno "matumizi mabaya" lina maana gani?Sasa J J Mnyika anatoa wapi mshahara wake na wasaidizi wake?
Unadhani ccm wajinga? Mtu anajenga shule kwa pesa zake za mfukoni, kajenga ofisi 2 za chama kwa hela yake, hao waliomzuia asirudi bungeni hadi mwakani wamefanya nini either majimboni mwao au kwenye chama? Kwa ufupi hao ndio mzigo cause hawana impact yeyote chamani wala serikalini na hata majimboni kwao.Gwajima,
Amepanda mapa ya mwisho,mwezi ujao anavuliwa uanachama na maccm .
Mishahara ni matumizi sahihi ya ruzuku bwashee.KWahiyo bwashe mshahara ni matumizi mabaya ya ruzuku? Au mimi ndio sielewi hasa neno "matumizi mabaya" lina maana gani?
Kama yule Kingu ndio bure kabisa!Unadhani ccm wajinga? Mtu anajenga shule kwa pesa zake za mfukoni, kajenga ofisi 2 za chama kwa hela yake, hao waliomzuia asirudi bungeni hadi mwakani wamefanya nini either majimboni mwao au kwenye chama? Kwa ufupi hao ndio mzigo cause hawana impact yeyote chamani wala serikalini na hata majimboni kwao.
Tukio liko mubashara ITV
Rais Samia akiwa na mbunge wa Kawe wanahutubia wananchi wa jimbo la Kawe eneo la Tegeta manispaa ya Kinondoni.
Kwa sasa askofu Gwajima amepanda kwenye gari ya Ikulu na anatoa salamu za shukrani kwa Rais Samia kwa niaba ya wananchi.
Gwajima anasema wananchi wa Kawe siyo tu Wanampenda mama Samia bali wana mahaba naye.
Helicopter za polisi zinavinjari juu ya anga kuulinda mkutano huu mtakatifu.
Rais Samia amewataka wananchi waendelee kulipa kodi kwani kodi ni kwa maendeleo ya taifa.
Rais Samia amesema anaelekea Bagamoyo katika mtiririko wa uchukuaji picha ya filamu ya vivutio vya utalii wa Tanzania itakayozinduliwa nchini Marekani na kuonyeshwa dunia nzima.
Karibu
========
Katika ziara hiyo Rais Samia pia amekutana na Mbunge wa Kawe Askofu Gwajima, ambapo Rais ameuhoji umma: “Tunachanja, hatuchanji?” Huku wananchi wakijibu “Tunachanja!”
Askofu Gwajima pia ameshukuru kwa kupata Bilioni 8 kwa ajili ya kurekebisha mitaro ya Kata ya Mbweni ili kudhibiti mafuriko kipindi cha mvua.
“Jambo lingine, ulitupa kila jimbo milioni 500 kwa ajili ya barabara lakini kwenye Jimbo la Kawe ukatupa bilioni 14, ambazo tunatengeneza barabara 115 za jimbo la Kawe za naani kwa mkono wa TARURA.”,
“Shida ya maji iliyokuwepo Nakasangwe, iliyokuwepo Kisanga, tayari matenki yameshajengwa katika maeneo mbalimbali na sasa kuanzia mwezi wa 10 tarehe 15 mradi wa maji yanayotokea Ruvu Chini utakuwa umeshafika Kawe.”
Hahahha ila we jamaa weweChondechonde wasije kutuletea video nyingine kama ile ya Yanga ili kutusahaulisha mambo muhimu ya kitaifa
Mshahara kama anaolipwa mbunge!Inasema atalipwa kiasi gani?
Amandla...
😂😂😂😂Futuhi ,🏃🏊Tukio liko mubashara ITV
Rais Samia akiwa na mbunge wa Kawe wanahutubia wananchi wa jimbo la Kawe eneo la Tegeta manispaa ya Kinondoni.
Kwa sasa askofu Gwajima amepanda kwenye gari ya Ikulu na anatoa salamu za shukrani kwa Rais Samia kwa niaba ya wananchi.
Gwajima anasema wananchi wa Kawe siyo tu Wanampenda mama Samia bali wana mahaba naye.
Helicopter za polisi zinavinjari juu ya anga kuulinda mkutano huu mtakatifu.
Rais Samia amewataka wananchi waendelee kulipa kodi kwani kodi ni kwa maendeleo ya taifa.
Rais Samia amesema anaelekea Bagamoyo katika mtiririko wa uchukuaji picha ya filamu ya vivutio vya utalii wa Tanzania itakayozinduliwa nchini Marekani na kuonyeshwa dunia nzima.
Karibu
========
Katika ziara hiyo Rais Samia pia amekutana na Mbunge wa Kawe Askofu Gwajima, ambapo Rais ameuhoji umma: “Tunachanja, hatuchanji?” Huku wananchi wakijibu “Tunachanja!”
Askofu Gwajima pia ameshukuru kwa kupata Bilioni 8 kwa ajili ya kurekebisha mitaro ya Kata ya Mbweni ili kudhibiti mafuriko kipindi cha mvua.
“Jambo lingine, ulitupa kila jimbo milioni 500 kwa ajili ya barabara lakini kwenye Jimbo la Kawe ukatupa bilioni 14, ambazo tunatengeneza barabara 115 za jimbo la Kawe za naani kwa mkono wa TARURA.”,
“Shida ya maji iliyokuwepo Nakasangwe, iliyokuwepo Kisanga, tayari matenki yameshajengwa katika maeneo mbalimbali na sasa kuanzia mwezi wa 10 tarehe 15 mradi wa maji yanayotokea Ruvu Chini utakuwa umeshafika Kawe.”
Usikariri!😂😂😂😂Futuhi ,🏃🏊
Alishafungz mjadala!Mimi nangoja ibada ya Jumapili ijayo kwenye Kanisa la Ufufuo na Uzima nisikie Gwaji atasema nini tena!
Tusijekushangaa amefanya U-turn!
Kutokana na Viongozi wa dini kujiungiza kwenye za nchi hii,hawaaminiki tena!