router za dukani ni gharama kubwa sana almost laki na kitu.
Router za mitandao ya simu huwa wanauza kwa hasara ama bila faida wanategemea mteja utafidia kwenye vifurushi.
Ni mtandao upi wa simu kwenye maduka yao wana router za huawei ?
Nimechagua huawei sababu kuna features nyingi na support kubwa mitandaoni
Router za mitandao ya simu huwa wanauza kwa hasara ama bila faida wanategemea mteja utafidia kwenye vifurushi.
Ni mtandao upi wa simu kwenye maduka yao wana router za huawei ?
Nimechagua huawei sababu kuna features nyingi na support kubwa mitandaoni