CAMARADERIE
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 4,419
- 1,920
Hii sijawahi kuisikia, tumegee zaidi mkuu ili tuandae mashambulizi kabisa huyu jamaa akiibuka tena.Kuna baadhi ya watu walio karibu na EL ambao wameniambia mara kadhaa kuwa EL mwenyewe amekuwa akisema mambo yote ya Richmond yalifanyika kwa maelekezo ya Muungwana. Yeye akiwa mwenyekiti wa baraza la mawaziri hakuna jambo lolote lililofanywa nyuma ya mgogo wake. Anasema alikubali kujiuzulu ili kumnusuru Muungwana. Sasa akitoswa si anaweza kufungua mafaili yote????
Katika kile kinachoonekana kuwa sasa wanatangaza vita, gazeti la Mtanzania linalomilikiwa na Rostam Aziz na kusimamiwa na Hussein Bashe limemchimba JK kwa kuandika leo kwamba Kikwete naye fisadi wakinukuu List of Shame iliyotolewa na Chadema Mwembe Yanga, huku wakinukuu tuhuma zotte ambazo zilielekezwa kwa JK na huku wakijifanya kuwarushia mpira Nape na Chiligati kuwa walisema mafisadi wote CCM wajiuzulu akiwamo JK.
JK, Mukama, Chiligati na Nape walizungumza wakirejea vikao vya CCM na si LIST of Shame na kama walitambua hilo wangesema mapema si baada ya kufukuzwa.
Katika vikao vya CCM List of Shame ya Chadema haijajadiliwa bali walijadili Richmond, Dowans, Kagoda na Rada na waliwataja kwa majina Lowassa, Rostam na Chenge. Hii ni sawa na mwizi kukamatwa na kusema "tuliiba na mwenzangu mbona hakamatwi?" Maana yake anakiri kuwa ni mwizi.
Chinua Achebe: "Things Fall Apart"
Chinua Achebe: "Things Fall Apart"
Chinua Achebe, No Longer at Ease!!!!!:A S-key:
Chinua Achebe: "Things Fall Apart"
Nini falsafa ya maisha, kuishi miaka mingi na kufa kama mzoga ama michache na kubakia na msimamo unaoishi? Kipi alichokosea Bashe ndugu kuweka mambo wazi ambayo akina Nape walitaka yasitambulike? Halafu unasema the guy is young unajua ataishi miaka mingapi kwani wewe Mungu?
wametuibia kura zetu wakizani watakaa kwa amani zambi ya wizi itawatafuna mpaka kaburini