...Mtikila tumemshtukia anatumiwa na CCM na siasa zake za kibaguzi na jazba hazina nafasi kwa wananchi walio wengi,ila tunashukuru mchango wake wa kuishtaki serikali katika mambo mengi ambayo naona wengi tulikuwa hatujui
Mwanakijiji,
Mbona tunasikiliza mazungumzo yenu binafsi?
Jamani, kweli mtikila ni mbabaishaji, Lakini , kuna kitu ninakiona hapa. Mwanakijiji amebadilisha focus yake, naona kama anamtetea Rostam aziz vile.
Ukiangalia kwa makini utagundua Hili na ninaona anashift attention ya Rostam kwenda kwa mtikila.
Mwanakijiji ni na wasi wasi kama hujapewa kitu na Rostam
Jamani, kweli mtikila ni mbabaishaji, Lakini , kuna kitu ninakiona hapa. Mwanakijiji amebadilisha focus yake, naona kama anamtetea Rostam aziz vile.
Ukiangalia kwa makini utagundua Hili na ninaona anashift attention ya Rostam kwenda kwa mtikila.
Mwanakijiji ni na wasi wasi kama hujapewa kitu na Rostam
Kuhani na Mtanzania.. asanteni... maana haya mambo ya kuingiliwa hadi studio inakuwa kasheshe.. (no pun intended)..
Ukitaka kumlaumu Mtikila jiweke kwenye mazingira kama yake na kisha angalia wewe ungefanya nini?
Kwanza Rostam ni rafiki yake, pia kakopa tena wakati huo kashfa za Rostam hazikuwa zinaeleweka waziwazi.Tatu, mkopo haukuwa na masharti yoyote.
Nne, hakuona urafiki kumshambulia Rostam alipoona anatumia kanisa kujisafisha. Akawa wa kwanza hata kutaka kwenda mahakamani ili mafisadi akiwemo Rostam waadhibiwe.
Namwamini Mtikila kuliko wanasiasa wetu wengi.