Mkushi Da Gama
JF-Expert Member
- Jun 23, 2015
- 3,695
- 4,985
walai unaitumia sehem kibao hadi comment inakera kuisomaKuna mdada alikuwa anaitwa Amina naye pia alishindikana kabisa, bahati akaenda sober house ya Kigamboni na amepona kabisa walahi
Rose aendelee kumtafuta Mungu wake tu walahi