Arien
JF-Expert Member
- Aug 29, 2017
- 11,245
- 11,741
kweli kabisaahahahahhahaahaha i gues she is deeply serious, sema tukio lililomkuta na nyakati tulizopo ndio vinaleta maana ya sentensi yako.
kweli kabisaahahahahhahaahaha i gues she is deeply serious, sema tukio lililomkuta na nyakati tulizopo ndio vinaleta maana ya sentensi yako.
Unaweza kukuta huyu Pastor Ng'ang'a amempatia Rose fungu ili aaanguke amtengenezee ili Mchungaji apande Hadhi Kipande hiyo, imekuwaje amejiandaa kwa kwenda na nguo ndefu !!!
Kabisaaa.Usiombee yakupate ndugu yangu wewe walahi ooh
Mi hapo ndo nimeshangaa?Kuna sehem hapo anafunika mapaja kwa kuvuta sket
Mtafte msemaji was familia
Huyo mwanana nimekaa nae mtaa mmoja pnde za dodoma asee ... Alikuwa anatumia vbaya umarufu wakeHadi sasa nasikia ronja tu sina taarifa kamili, sababu ni nini ?