@rosemuhandoofficial5676
3 hours ago
Dada mbona hueleweki ! Badala ya kujenga hoja ya kumjenga Rais wewe unafanya bef, nini Sasa umeongea hapo mbele ya kamera,kumbuka Kuna watanzania tuna akili kubwa japo hatuko huko bungeni kwenu ,Sasa hapo ndo umefanya nini kumbuka huyo ni Rais na unapojaribu kutengeneza jambo kuhusu yeye ni lazima ujenge hoja ya msingi,unaropoka kama uko kijiweni na unawongea na wasela, leta hoja yenye nguvu na mashiko sio kukurupuka ,na kama hujui kujenga hoja kaa pembeni acha wanaojuwa kuzungumza wazungumze !!
View: https://youtu.be/hd5shMNqcZs?si=_Gn2ToRi4ftZO6ao