Mwenye nambza zake anisaidie PM
Manfongo atakua baba yake mdogo,naona majina yanafananaAtakua wa dar uyo Anaitwa Rose Manfere
Kigezo kipi kawazidi wenzake naomba kujuzwa kwa anae jua maana pisi zote zilikua kali aiseh
Hakika tumevuka uchumi wa katiHii mada umeandika ukiwa juu ya bodaboda
Ila kwa Sasa unafuatilia kisirisiri?Mara yangu ya mwishomwisho kufuatilia haya mshindano ilikuwa 2006,
Baada ya Wema Sepetu hao wanaofuata hata siwajui kwa sura wala kwa majina.
Ok. Next please!Kumbe haya mashindano bado yapo nilikuwa Sina habari
Sifuatilii mkuu, na ndio maana huwa siwajui kwa sura wala majina.Ila kwa Sasa unafuatilia kisirisiri?
nimepitia page yake naona alianza harakati kitambo,Jana ilibidi niangalie hichi kitu lakini sikuelewa ni vigezo gani vilitumika kumpa huyu
Kuna yule Yvonne namba 20, ana kichwa kizuri kutokana na anachokizungumza na project ambayo ingelenga pakubwa sana katika kusaidia sekta ya afya yeye alizungumzia ishu ya utapia mlo (malnutrition) kila mtu anajua serikali na Dunia inavyopigania suala la lishe kwa watoto......
More than 40millions children die every year in the world due to this
Ila chaajabu nikaona amepata mwingine, wow sijui lakini Mimi ngoja nipite ila watizame upya.....
Hatuangalii suala la uzuri tunaangalia je, kwenye mashindano ya Dunia ataweza kufit?
Mashindano ya taji la Miss Tanzania kwa mwaka 2020 yamefika tamati leo tarehe 5/12/2020 na Mshindi wake kutangazwa kutokana na maoni ya majaji na wapiga kura. Jina lake anaitwa Rose Manfere na namba yake ya ushiriki ilikuwa ni namba 14. Huyu ndiye ataiwakilisha Tanzania kwenye mashindano ya Miss world huko Brazil. Kwenye historia ya mataji ya Miss Tanzania, Ukitoa lile la Miss Tanganyika aliloshinda mzungu mmoja wa kikoloni, huyu anakuwa ni Miss wa 24 tangu mwaka 1964. Baadhi ya picha zake.
View attachment 1642771View attachment 1642772
Orodha ya Mamiss waliomtangulia huku ikiambatana na mwaka waliochukua mataji:
Jina Mwaka Theresa Shayo 1967 Aina Maeda 1994 Emily Adolf
1995 Shose Sinare 1996 Saida Kessy 1997 Basila Mwanukuzi 1998 Hoyce Temu 1999 Jacqueline Ntuyabaliwe 2000 Happiness Magese 2001 Sylvia Bahame 2003 Faraja Kotta 2004 Nancy Sumari 2005 Wema Sepetu 2006 Richa Adhia 2007 Nasrin Karim 2009 Miriam Gerald 2009 Genevieve Emmanuel 2010 Salha Israel 2011 Brigitee Alfred 2012 Happiness Watimanywa 2013 Lilian Kamazima 2014 Diana Edward 2016 Queen Elizabeth Makune 2018 Rose Manfere 2020
Video inayoonesha Rose akitangazwa ushindi wa Taji la Miss Tanzania 2020.
Mashindano ya taji la Miss Tanzania kwa mwaka 2020 yamefika tamati leo tarehe 5/12/2020 na Mshindi wake kutangazwa kutokana na maoni ya majaji na wapiga kura. Jina lake anaitwa Rose Manfere na namba yake ya ushiriki ilikuwa ni namba 14. Huyu ndiye ataiwakilisha Tanzania kwenye mashindano ya Miss world huko Brazil. Kwenye historia ya mataji ya Miss Tanzania, Ukitoa lile la Miss Tanganyika aliloshinda mzungu mmoja wa kikoloni, huyu anakuwa ni Miss wa 24 tangu mwaka 1964. Baadhi ya picha zake.
View attachment 1642771View attachment 1642772
Orodha ya Mamiss waliomtangulia huku ikiambatana na mwaka waliochukua mataji:
Jina Mwaka Theresa Shayo 1967 Aina Maeda 1994 Emily Adolf
1995 Shose Sinare 1996 Saida Kessy 1997 Basila Mwanukuzi 1998 Hoyce Temu 1999 Jacqueline Ntuyabaliwe 2000 Happiness Magese 2001 Sylvia Bahame 2003 Faraja Kotta 2004 Nancy Sumari 2005 Wema Sepetu 2006 Richa Adhia 2007 Nasrin Karim 2009 Miriam Gerald 2009 Genevieve Emmanuel 2010 Salha Israel 2011 Brigitee Alfred 2012 Happiness Watimanywa 2013 Lilian Kamazima 2014 Diana Edward 2016 Queen Elizabeth Makune 2018 Rose Manfere 2020
Video inayoonesha Rose akitangazwa ushindi wa Taji la Miss Tanzania 2020.
Wema ki beberu kilimbeba Ni moja ya vigezoShindano hili lilikuwa limeshapoteza dira......lkn aliyekuja kumaliza kabisa no mange baada ya kutoa Siri kwamba walifanya figisu na kumpa ushindi wema sepetu mwaka 2006..badala ya kumpa aliyepaswa kushinda ambaye no Jokate