Rose Manfere, Mshindi wa taji la Miss Tanzania 2020

๐‚๐• ๐ฒ๐š๐ค๐ž ๐ข๐ง๐š๐จ๐ง๐ฒ๐ž๐ฌ๐ก๐š ๐€๐ง๐š๐ฌ๐จ๐ฆ๐š ๐œ๐ก๐ฎ๐จ ๐ค๐ข๐ค๐ฎ๐ฎ ๐€๐‘๐ƒ๐‡๐ˆ ๐ก๐š๐ก๐š๐ก๐š๐ก๐š๐š๐ก ๐ค๐จ๐ณ๐ข ๐ฒ๐š ๐ˆ๐๐…๐Ž๐‘๐Œ๐€๐“๐ˆ๐Ž๐ ๐’๐˜๐’๐˜๐“๐„ ๐Œ๐€๐๐€๐†๐„๐Œ๐„๐๐“ ๐๐š๐ก ๐ก๐š๐ญ๐š๐ซ๐ข ๐ฌ๐š๐ง๐š.
 
Jana ilibidi niangalie hichi kitu lakini sikuelewa ni vigezo gani vilitumika kumpa huyu

Kuna yule Yvonne namba 20, ana kichwa kizuri kutokana na anachokizungumza na project ambayo ingelenga pakubwa sana katika kusaidia sekta ya afya yeye alizungumzia ishu ya utapia mlo (malnutrition) kila mtu anajua serikali na Dunia inavyopigania suala la lishe kwa watoto......

More than 40millions children die every year in the world due to this

Ila chaajabu nikaona amepata mwingine, wow sijui lakini Mimi ngoja nipite ila watizame upya.....

Hatuangalii suala la uzuri tunaangalia je, kwenye mashindano ya Dunia ataweza kufit?
 
Ila kwa Sasa unafuatilia kisirisiri?
Sifuatilii mkuu, na ndio maana huwa siwajui kwa sura wala majina.

Ila kuanzia Wema Sepetu kurudi miaka ya nyuma naweza nikakutajia wote na sura zao nazijua.
 
Jana ilibidi niangalie hichi kitu lakini sikuelewa ni vigezo gani vilitumika kumpa huyu

Kuna yule Yvonne namba 20, ana kichwa kizuri kutokana na anachokizungumza na project ambayo ingelenga pakubwa sana katika kusaidia sekta ya afya yeye alizungumzia ishu ya utapia mlo (malnutrition) kila mtu anajua serikali na Dunia inavyopigania suala la lishe kwa watoto......

More than 40millions children die every year in the world due to this

Ila chaajabu nikaona amepata mwingine, wow sijui lakini Mimi ngoja nipite ila watizame upya.....

Hatuangalii suala la uzuri tunaangalia je, kwenye mashindano ya Dunia ataweza kufit?
nimepitia page yake naona alianza harakati kitambo,

halafu hizo projects zao zinakuwaga za makaratasi tu
 
Mashindano ya taji la Miss Tanzania kwa mwaka 2020 yamefika tamati leo tarehe 5/12/2020 na Mshindi wake kutangazwa kutokana na maoni ya majaji na wapiga kura. Jina lake anaitwa Rose Manfere na namba yake ya ushiriki ilikuwa ni namba 14. Huyu ndiye ataiwakilisha Tanzania kwenye mashindano ya Miss world huko Brazil. Kwenye historia ya mataji ya Miss Tanzania, Ukitoa lile la Miss Tanganyika aliloshinda mzungu mmoja wa kikoloni, huyu anakuwa ni Miss wa 24 tangu mwaka 1964. Baadhi ya picha zake.

View attachment 1642771View attachment 1642772
Orodha ya Mamiss waliomtangulia huku ikiambatana na mwaka waliochukua mataji:
JinaMwaka
Theresa Shayo1967
Aina Maeda1994

Emily Adolf​

1995
Shose Sinare1996
Saida Kessy1997
Basila Mwanukuzi1998
Hoyce Temu1999
Jacqueline Ntuyabaliwe2000
Happiness Magese2001
Sylvia Bahame2003
Faraja Kotta2004
Nancy Sumari2005
Wema Sepetu2006
Richa Adhia2007
Nasrin Karim2009
Miriam Gerald2009
Genevieve Emmanuel2010
Salha Israel2011
Brigitee Alfred2012
Happiness Watimanywa2013
Lilian Kamazima2014
Diana Edward2016
Queen Elizabeth Makune2018
Rose Manfere2020

Video inayoonesha Rose akitangazwa ushindi wa Taji la Miss Tanzania 2020.


Ni Mimi nimepoteza interest au ni nini. Maana miaka ya karibu na 2000 + or - ma miss tumekua tukiwajua kisawa sawa utafikiri mawaziri flani. Lakini nipo hapa naisoma hii list nimejishangaa kuanzia 2007 mpaka sasa sijui hao mamiss kabisa.
.japo nakiri kuna mzuka flani wa miss now days hauko km zamani.
 
Mashindano ya taji la Miss Tanzania kwa mwaka 2020 yamefika tamati leo tarehe 5/12/2020 na Mshindi wake kutangazwa kutokana na maoni ya majaji na wapiga kura. Jina lake anaitwa Rose Manfere na namba yake ya ushiriki ilikuwa ni namba 14. Huyu ndiye ataiwakilisha Tanzania kwenye mashindano ya Miss world huko Brazil. Kwenye historia ya mataji ya Miss Tanzania, Ukitoa lile la Miss Tanganyika aliloshinda mzungu mmoja wa kikoloni, huyu anakuwa ni Miss wa 24 tangu mwaka 1964. Baadhi ya picha zake.

View attachment 1642771View attachment 1642772
Orodha ya Mamiss waliomtangulia huku ikiambatana na mwaka waliochukua mataji:
JinaMwaka
Theresa Shayo1967
Aina Maeda1994

Emily Adolf​

1995
Shose Sinare1996
Saida Kessy1997
Basila Mwanukuzi1998
Hoyce Temu1999
Jacqueline Ntuyabaliwe2000
Happiness Magese2001
Sylvia Bahame2003
Faraja Kotta2004
Nancy Sumari2005
Wema Sepetu2006
Richa Adhia2007
Nasrin Karim2009
Miriam Gerald2009
Genevieve Emmanuel2010
Salha Israel2011
Brigitee Alfred2012
Happiness Watimanywa2013
Lilian Kamazima2014
Diana Edward2016
Queen Elizabeth Makune2018
Rose Manfere2020

Video inayoonesha Rose akitangazwa ushindi wa Taji la Miss Tanzania 2020.



Dah huyo manzi kama utani ani, yuko zake pale ardhi anapiga ICT na mdogo wangu afu best friends kinoma, dogo ananionyesha picha zao anasema anacontest taji la urembo nikawa nachukulia masihara, dah siamin kwa kweli! Hongera zake sana!
 
Shindano hili lilikuwa limeshapoteza dira......lkn aliyekuja kumaliza kabisa no mange baada ya kutoa Siri kwamba walifanya figisu na kumpa ushindi wema sepetu mwaka 2006..badala ya kumpa aliyepaswa kushinda ambaye no Jokate
Wema ki beberu kilimbeba Ni moja ya vigezo
 
Back
Top Bottom