Nilufer
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 9,316
- 12,826
Jokate anakibeberu kizuri tuWema ki beberu kilimbeba Ni moja ya vigezo
Jokate anakibeberu kizuri tuWema ki beberu kilimbeba Ni moja ya vigezo
Kwa hiyo kuna hadi mamiss ma single maza?Lundenga aliondoka na hili shindano, kipindi ch kina aina maenda yaani kupenya tu huko moani ilikuwa mbinde, sasa walipokuja kuleta rushwa ya ngono na kupitisha pisi zishazaa, ndipo yaliharibika maana naskia huko miss world wanapima hadi bikra, kama haipo huingii top 10
mpe hai mama Gaude.Mama Gaude wangu ni mrembo kuliko wote hapo juu, sema hapendi mambo ya show off tu.
Nmecheka snHii mada umeandika ukiwa juu ya bodaboda