Ilikuwaje Dr. Slaa aachane na mke wake kinyume na maadili ya kanisa linasema ndoa haivunjiki mpaka kifo? Je hii haioneshi kuwa Dr. Slaa hana uadilifu? Tunaomba atuambie kwanini aliachana na mke wake?
Mmmh!
Hii inakuja siku mbili baada ya kuipa ukweli serikali!
Inawezekana ni kweli.
Lakini sijawahi sikia mtu akishitakiwa na X wake kisa mchumba mpya!
Hapana ila Rose Anataka matunzo ya watoto na mali zile walizochuma wote wagawane pasu pasu.
Sababu za yeye kuachana na mke wake ni siri yake kama ilivyokuwa sababu za yeye kuoana na mke wake.Jipange vizuri kijana!
Hahahahhaha, umenichekesha mkuu!!...maswala ya Sacrament ukae ukijuwa sio woote ni wa imani unayoifuata wewe, au hao wenzio ambao dini zenu zililetwa na Meli za wakoloni...fahamu kuwa kuna watu mpaka leo wako na Imani za asili na wanafuata ndoa za kimila....
Sasa hayo mambo ya Matunzo ya watoto si aende Ustawi wa Jamii!sasa akiweka pingamizi mahakamani ili Dr. asifunge ndo inahusiana nini na matunzo ya watoto?Hao watoto wako wapi na wanaumri gani?Ni kweli ameshindwa kuwatunza?Lets be serious
Usiseme uongo hajaoa mke wa pili, anaishi na mke wa mtu na amemuweka kama kimada hawara yake, hajaoa. Ki kanoni hakuna sababu za siri za kuwacha mke, usipotoshe umma.
Yaani wana-CHADEMA mna mahaba ya ajabu kama sio ya kushangaza!! Yaani kwenu Dokta Slaa ni kama mungu ambae ni kufukuru kumsema kwa mabaya!!! Tuache ujuha....mapenzi yetu kwenye vyama vya siasa si busara hata kidogo kututia upofu na kujifanya hamnazo!! Jambo la msingi hapa ni kuangalia uhalali wa madai badala ya kuleta siasa!
1. Kweli Dr Slaa amezaa na Bi. Rose?
2. Kweli Dr Slaa amemkimbia Bi. Rose?
3. Kama Na. 1 above ni sahihi, je ni kweli Dr Slaa hatoi matunzo kwa familia yake?...
Wewe unajuwa kuwatunza watoto ni kuwapa pesa za maziwa tu? Huyu Slaa hafai hata kuongoza nyumba moja wacha kuongoza chadema.
Pro-Chadema JF mnakuwa na mapenzi mabaya sana sasa achukuliwe hatua za kinidhamu kwa kosa gani? Madai yake ya msingi.
Hayo Ni mawazo yako uwezi kulazimisha wananchi katika hilo unaloamini wewe kama ndiyo hiyo Mwenyekiti wako naye hakustahili au unafikiri watu hawajui?
Usitake kuchakachuwa, huyu Slaa ni mzinzi tena inafaa hata wananchi tumshitaki kwa kutumia pesa zetu za kodi kumlipia hawara yake hoteli, hausigeli na walinzi. Source ni TUNTEMEKE.
Kama hawajafunga ndoa,those children out of wedlock stand illegitimate and support of the children remains with concubine mother.That's all.
Mmmh!
Hii inakuja siku mbili baada ya kuipa ukweli serikali!
Lakini sijawahi sikia mtu akishitakiwa na X wake kisa mchumba mpya
Inawezekana ni kweli.
Hawa hawkuwa wachumba ila mtu na mumewe tena walobahatika kupata watoto wawili. tusipotoshe ukweli na kupindisha haki ya huyu mama ati kwa vile tu anayeguswa ni DR Slaa. Akina baba wengi wamekuwa ndo chanzo cha mfumuko huu tuuonao wa watoto wa mitaani. fikiria kama Rose nae angeamua kusepa tayari hapo padri angekuwa ametuletea machokoraa wawili mitaani . tuacheni chombo cha haki mahakama kiamue