Marwa_J_Merengo
JF-Expert Member
- Aug 6, 2018
- 4,512
- 6,856
Sasa utaendaje kuisema serikali bar
Ipo Dodoma Area C, inapendwa sana na wasiojulikana na wabunge baada ya Chako ni chako.Hii Bar ipo Mikocheni B, (sina uhakika sana kwa sababu sina uenyeji na jiji la Dar)
Mara ya kwanza kufika kwenye hiyo bar nilipelekwa na girlfriend wangu siku ya pili baada ya kuwasili kutoka Australia.
Kipindi hicho ilikuwa mida ya jioni na mwenyeji wangu alinionya kuwa mwangalifu sana na kauli siku nikienda hapo peke yangu, nilipomuuliza, niwe mwangalifu kwa kauli zipi ?akanijibu, nisijaribu kuwa na kauli za kuisema vibaya serikali, kwa maana ya kuikosoa,kwa sababu imeshatokea watu kudakwa hapo bar, yaani unatoka kwenda chooni huko huko hurudi tena, wanakuona nyumbani baada ya siku 5 ukiwa umepigika hasa.
Enzi zile ilikuwa ni awamu ya nne,nimekaa nikajiuliza Kama awamu ya nne ilikuwa hivyo, je? Hali ikoje kwa awamu hii ya tano?
Ukienda umeenda jumla, hakuna kurudi.
RIP Ben Saanane
RIP Kanguye
RIP Azori Gwanda
RIP my best friend Eric, ulipotelea Rose Garden baada ya kuanza kukosoa serikali.
Halafu ndio haohao unajua,kama Everton na Liverpool tu.Rose Garden? Labda 2015 huko...siku hizi tumehamia 777
Uko bia ya ngapi...!?Ni Eric tu, walianza kumfuatilia Rose Garden, kufika nyumbani wakamzoa hadi leo mwaka wa pili..., hakuonekana Gereza lolote, wala kituo chochote cha police ,wala mochwari zote, Eric alipotezwa Kama Ben Saanane
Watu wanamsema Mungu, ije kuwa Binadamu, wezi, wauaji, katili wanaojiita serikali ya watu kumbe ya majambazi, Ujinga tu umewajaa vichwani mwenu kazi kushabikia tu kila ujingaKwanza kwanini uiseme serikali yako? Tuanzie hapo kwanza
Ndo nimefungua ya kwanza mkuu, Tusker bariiidi, mwambie waiter akupe na wewe nitalipaUko bia ya ngapi...!?
Kituo cha kina Lau Mash, Mwapachu Juma, Bashir Awale(former Stanbic Bank CEO) ilikua ni Cruz Inn pale Mikocheni kwa WariobaSupu ya makongoro pale Rose garden. Rose garden kijiwe cha kina Lau Masha na group lake awamu ya nne.
Serikali ni ya watu kwa ajili ya watu, kwa hiyo serikali husemwa popote na watu wake, isipokuwa serikali za kishenzi na kidikteta ndo huwezi kuongea lolote ,mbona hapa Australia watu hui challenge serikali kila kona ya nchi hadi kwenye ma Casino?Sasa utaendaje kuisema serikali bar
Ninakaribia miaka 15 sijatia kinywaji cha jamii hiyo mdomoni!!!Na nina uhakika ofa yako haitavunja mbio zangu hizi.Ndo nimefungua ya kwanza mkuu, Tusker bariiidi, mwambie waiter akupe na wewe nitalipa
Kwa sasa ni mke Wangu tayariHuyo 'girlfriend' naye vipi 'My son'! Bado unaye kweli?
Nahisi itakuwa inamilikiwa na hawahawa eangle wingkuna mtu aliwahi lia pale wazee wanahonga milion.
Mkuu TISS wapo wengi mno humu na ninawajua wote, ila mimi simo kabisambona kama unataka utuaminishe ww ni TISS??
Wewe unaishi Dunia ipi usijue hilo?Basi ndio nasikia leo kutoka kwako
mpe anakipaka matope kitengo @#&&@#%Kumbe upo nje ya nchi, pole sana chuki zako dhidi ya idara hazitasaidia chochote, alafu mkiwa mnaenda sehemu za starehe huwa mnaenda kujadili siasa?
Sidhani km huu mkeka wako unauhalisia labda ulitaka kutukumbusha hao watu uliowataja mwishoni. Hakuna serikali ambayo haipendi kukosolewa kwani ni chanzo cha maendeleo. Inakuwa kosa kama utakosoa kwa kutukana na pia sio kwamba utakapoikosoa serikali bac utapata majibu wakati huohuo kwani mambo ni mengi ila muda ni mchache.Hii Bar ipo Mikocheni B, (sina uhakika sana kwa sababu sina uenyeji na jiji la Dar)
Mara ya kwanza kufika kwenye hiyo bar nilipelekwa na girlfriend wangu siku ya pili baada ya kuwasili kutoka Australia.
Kipindi hicho ilikuwa mida ya jioni na mwenyeji wangu alinionya kuwa mwangalifu sana na kauli siku nikienda hapo peke yangu, nilipomuuliza, niwe mwangalifu kwa kauli zipi ?akanijibu, nisijaribu kuwa na kauli za kuisema vibaya serikali, kwa maana ya kuikosoa,kwa sababu imeshatokea watu kudakwa hapo bar, yaani unatoka kwenda chooni huko huko hurudi tena, wanakuona nyumbani baada ya siku 5 ukiwa umepigika hasa.
Enzi zile ilikuwa ni awamu ya nne,nimekaa nikajiuliza Kama awamu ya nne ilikuwa hivyo, je? Hali ikoje kwa awamu hii ya tano?
Ukienda umeenda jumla, hakuna kurudi.
RIP Ben Saanane
RIP Kanguye
RIP Azori Gwanda
RIP my best friend Eric, ulipotelea Rose Garden baada ya kuanza kukosoa serikali.
It seems as if you are one of themWa%e rear tree ft 5 q 54444 22
Wewe unaishi Dunia ipi usijue hilo?