Nini wewee mgerasi jikite kwenye madaMajasusi wa papuchi tunaruhusiwa kukoment hapa ?
Majasusi uchwara tu kama ni majasusi walishidwa kustuka kwamba ndege ikienda South Afrika itakamatwa
Huyo 'girlfriend' naye vipi 'My son'! Bado unaye kweli?Hii Bar ipo Mikocheni B, (sina uhakika sana kwa sababu sina uenyeji na jiji la Dar)
Mara ya kwanza kufika kwenye hiyo bar nilipelekwa na girlfriend wangu siku ya pili baada ya kuwasili kutoka Australia.
Kipindi hicho ilikuwa mida ya jioni na mwenyeji wangu alinionya kuwa mwangalifu sana na kauli siku nikienda hapo peke yangu, nilipomuuliza, niwe mwangalifu kwa kauli zipi ?akanijibu, nisijaribu kuwa na kauli za kuisema vibaya serikali, kwa maana ya kuikosoa,kwa sababu imeshatokea watu kudakwa hapo bar, yaani unatoka kwenda chooni huko huko hurudi tena, wanakuona nyumbani baada ya siku 5 ukiwa umepigika hasa.
Enzi zile ilikuwa ni awamu ya nne,nimekaa nikajiuliza Kama awamu ya nne ilikuwa hivyo, je? Hali ikoje kwa awamu hii ya tano?
Ukienda umeenda jumla, hakuna kurudi.
RIP Ben Saanane
RIP Kanguye
RIP Azori Gwanda
RIP my best friend Eric, ulipotelea Rose Garden baada ya kuanza kukosoa serikali.
Kwenye starehe unaisrmelea serkali vibaya bia zimekushinda?
Rose Garden? Labda 2015 huko...siku hizi tumehamia 777
Ulikuwa ukienda na demu wako hapo makli unarudi bila demu kwenu.....Supu ya makongoro pale Rose garden. Rose garden kijiwe cha kina Lau Masha na group lake awamu ya nne.
Majasusi wa papuchi tunaruhusiwa kukoment hapa ?
Na wewe ni mmoja wa hao Punda wa kijitonyama wanaomwaga Damu zisizo na hatia, iko siku yenuKwenye starehe unaisrmelea serkali vibaya bia zimekushinda?
Duh, mkuu na wewe umeshangaa? Kweli Tuendako si mchezoAisee.
Unaweza kuta nawe ni miongoni mwao ila unajitoa ufahamu tu hapa, hamuaminikiNa wewe ni mmoja wa hao Punda wa kijitonyama wanaomwaga Damu zisizo na hatia, iko siku yenu
kuna mtu aliwahi lia pale wazee wanahonga milion.Ulikuwa ukienda na demu wako hapo makli unarudi bila demu kwenu.....
Umesoma vizuri alienda wakati gani ?Kumbe upo nje ya nchi, pole sana chuki zako dhidi ya idara hazitasaidia chochote, alafu mkiwa mnaenda sehemu za starehe huwa mnaenda kujadili siasa?
Wote hao walipotelea hapo Rose garden?Hii Bar ipo Mikocheni B, (sina uhakika sana kwa sababu sina uenyeji na jiji la Dar)
Mara ya kwanza kufika kwenye hiyo bar nilipelekwa na girlfriend wangu siku ya pili baada ya kuwasili kutoka Australia.
Kipindi hicho ilikuwa mida ya jioni na mwenyeji wangu alinionya kuwa mwangalifu sana na kauli siku nikienda hapo peke yangu, nilipomuuliza, niwe mwangalifu kwa kauli zipi ?akanijibu, nisijaribu kuwa na kauli za kuisema vibaya serikali, kwa maana ya kuikosoa,kwa sababu imeshatokea watu kudakwa hapo bar, yaani unatoka kwenda chooni huko huko hurudi tena, wanakuona nyumbani baada ya siku 5 ukiwa umepigika hasa.
Enzi zile ilikuwa ni awamu ya nne,nimekaa nikajiuliza Kama awamu ya nne ilikuwa hivyo, je? Hali ikoje kwa awamu hii ya tano?
Ukienda umeenda jumla, hakuna kurudi.
RIP Ben Saanane
RIP Kanguye
RIP Azori Gwanda
RIP my best friend Eric, ulipotelea Rose Garden baada ya kuanza kukosoa serikali.
Nyie watu ni dhaifu sana sijawahi kuona, una hakika kabisa kuwa nina chuki na idara? Idara dhaifu hii niichukie so what? Idara iliyojikita kuhujumu upinzani badala ya kuhujumu mataifa yenye nguvu ili tupae kiuchumi, eti idara inawaua kina Ben Saanane sisimizi kabisa .Kumbe upo nje ya nchi, pole sana chuki zako dhidi ya idara hazitasaidia chochote, alafu mkiwa mnaenda sehemu za starehe huwa mnaenda kujadili siasa?
Hahahahahah...mkuu mimi na hao watu ni Maji na mafutaUnaweza kuta nawe ni miongoni mwao ila unajitoa ufahamu tu hapa, hamuaminiki
Ni Eric tu, walianza kumfuatilia Rose Garden, kufika nyumbani wakamzoa hadi leo mwaka wa pili..., hakuonekana Gereza lolote, wala kituo chochote cha police ,wala mochwari zote, Eric alipotezwa Kama Ben SaananeWote hao walipotelea hapo Rose garden?