msakaa jr
JF-Expert Member
- May 18, 2017
- 6,522
- 6,732
Wakikujibu unitagje, ni chuo gan majajusi wanapenda kusoma ?
Wakikujibu unitagje, ni chuo gan majajusi wanapenda kusoma ?
Kama nani kafulia hoi sasa hivi? Labda pesa zipungue ila kufulia sio kweliWapo huku kitaani hoi kama paka
Rose Garden enzi ya baba RizWap huko
TekuWakikujibu unitag
Ben inasemakana siku ya mwisho kuonekana ni shamba la miwa la bavicha siuji morogoro!Wote hao walipotelea hapo Rose garden?
Basi mbowe afungwe tuBen inasemakana siku ya mwisho kuonekana ni shamba la miwa la bavicha siuji morogoro!
Si kweli kwamba wote wameondokea Rose garden. Kila mmoja alipotelea mazingira tofauti.
Hapa tunadanganywa tu. Mnajua mlikompeleka beni na azori. Kwani kule ulaya alikotumwa kuichafua serikali alirudi? Alirudi? Alilipwa ile 800m? Matokeo yalikuwaje? Yule mchumbake aliulizwa? Alisikitika kupotelewa na mtu wake? Kama hakusikitika ni kwa nini. Yuko wapi kwa sasa yule dada.
Sawa sawa MkuuSiasa yenyewe ni starehe kwa nn isijadiliwe sehemu ya starehe?
Kumbe upo nje ya nchi, pole sana chuki zako dhidi ya idara hazitasaidia chochote, alafu mkiwa mnaenda sehemu za starehe huwa mnaenda kujadili siasa?
Kwanza kwanini uiseme serikali yako? Tuanzie hapo kwanza
Haujui maana ya sehemu ya starehe weweSehemu za starehe kunajadiliwa kila kitu.
Haujui maana ya sehemu ya starehe wewe
Jikite kwenye madaUnafahamu maana ya Magna Carta?
Jikite kwenye mada
Si vema kumpangia mtu cha kuzungumza, ila kila mahali na mazungumzo yakeUkijiita Magna Carta halafu unataka kuwapangia watu nini cha kuzungumza katika sehemu za starehe unakuwa huna tofauti na Muislamu anayekula Nguruwe.
Waimba kwaya hao hahahaTeku