Bar zilizofungiwa zatakiwa kulipa Faini Milioni Tano 5M kila moja ili ziruhisiwe kufanya biashara

Resilience

JF-Expert Member
Jan 4, 2023
879
4,125
Mkuregenzi WA NEMC amezipa siku Kumi na NNE waliofungiwa bar kulipa Faini ya shillingi milioni tano la sivyo watazifutia lesini.

Mtumishi huyo WA umma ameyasema hayo Leo wakati akitoa taarifa Kwa vyombo vya habari. Hali hii inazidi kuonyesha namna ilivyo ngumu kufanya biashara Tanzania na ilivyo ngumu Kwa sekta binafsi kutoboa.

Wakati akitoa kauli hii hakuna sehemu alipoweza kufafanua
1. Waajiriwa katika bar hizi wataishi vipi?

2. Mapato ya bar husika Kwa mwezi ni kiasi gani?

3. Milioni tano akiambiwa yeye alipe anao uwezo wa kulipa?

4. Anapopanga kuzifutia leseni Kodi inayopotea itapatikana Kwa njia gani

5. Waliolipa Kodi ya biashara kwenye hizo bar mfano wenye leseni ya chakula ndani ya bar hizo ambao NI tofauti na mmiliki WA bar anaathirika vipi?

6. Serikali ikigikishwa mahamani na kudaiwa fidia Kwa hasara alizosababisha atalipa yeye?

7. Wakati wa ufungaji WA bar husika watu wa NEMC awakuweza kukusanya ushahidi WA makosa yaliyotendwa, je serikali ikitakiwa kuthibitisha hayo ataweza kulisaidia Taifa?

8. Nani aliyetoa leseni ya hizi biashara? Nini mtizamo WA taasisi nyingine?

Haya na mengine yalipaswa kutangulia faini lakini Kwa kuwa mfumo uliopo unatamani wanaojitegemea wasifanikiwe na wanaoiba kama walivyotajwa kwenye ripoti ya CAG wafanikiwe basi ..........

Matokeo yake Kwa mambo haya hakuna mchina wala muhindi wala hata mbongo serious ataweka pesa zake Tanzania ; wote watazitorosha kwenda kuzihifadhi nje.

Taifa langu Tanzania mnavyowatesa Watanzania sidhani kama mnaweza kuzitesa biashara za mabeberu hivi.......


Ikivuma Sana inakaribia kupasuka
 
Mkuregenzi WA NEMC amezipa siku Kumi na NNE waliofungiwa bar kulipa Faini ya shillingi milioni tano la sivyo watazifutia lesini.

Mtumishi huyo WA umma ameyasema hayo Leo wakati akitoa taarifa Kwa vyombo vya habari. Hali hii inazidi kuonyesha namna ilivyo ngumu kufanya biashara Tanzania na ilivyo ngumu Kwa sekta binafsi kutoboa.

Wakati akitoa kauli hii hakuna sehemu alipoweza kufafanua
1. Waajiriwa katika bar hizi wataishi vipi?

2. Mapato ya bar husika Kwa mwezi ni kiasi gani?

3. Milioni tano akiambiwa yeye alipe anao uwezo wa kulipa?

4. Anapopanga kuzifutia leseni Kodi inayopotea itapatikana Kwa njia gani

5. Waliolipa Kodi ya biashara kwenye hizo bar mfano wenye leseni ya chakula ndani ya bar hizo ambao NI tofauti na mmiliki WA bar anaathirika vipi?

6. Serikali ikigikishwa mahamani na kudaiwa fidia Kwa hasara alizosababisha atalipa yeye?

7. Wakati wa ufungaji WA bar husika watu wa NEMC awakuweza kukusanya ushahidi WA makosa yaliyotendwa, je serikali ikitakiwa kuthibitisha hayo ataweza kulisaidia Taifa?

8. Nani aliyetoa leseni ya hizi biashara? Nini mtizamo WA taasisi nyingine?

Haya na mengine yalipaswa kutangulia faini lakini Kwa kuwa mfumo uliopo unatamani wanaojitegemea wasifanikiwe na wanaoiba kama walivyotajwa kwenye ripoti ya CAG wafanikiwe basi ..........

Matokeo yake Kwa mambo haya hakuna mchina wala muhindi wala hata mbongo serious ataweka pesa zake Tanzania ; wote watazitorosha kwenda kuzihifadhi nje.

Taifa langu Tanzania mnavyowatesa Watanzania sidhani kama mnaweza kuzitesa biashara za mabeberu hivi.......


Ikivuma Sana inakaribia kupasuka
Naunga mkono hoja🤔.Walevi wasitugeuze wote hamnazo🤸🤸🤸
 
Kabla ya hapo wazee wote wa msitu wa Shakahola wapewe darasa juu ya uchafuzi wa kelele,wakikaidi wapigwe tuuu🤸🤸🤸🤸
Wapewe taarifa. Sidhani kama hawaelewi kwamba kelele zao ni kero kwenye makazi ya watu.
 
Mkuregenzi WA NEMC amezipa siku Kumi na NNE waliofungiwa bar kulipa Faini ya shillingi milioni tano la sivyo watazifutia lesini.

Mtumishi huyo WA umma ameyasema hayo Leo wakati akitoa taarifa Kwa vyombo vya habari. Hali hii inazidi kuonyesha namna ilivyo ngumu kufanya biashara Tanzania na ilivyo ngumu Kwa sekta binafsi kutoboa.

Wakati akitoa kauli hii hakuna sehemu alipoweza kufafanua
1. Waajiriwa katika bar hizi wataishi vipi?

2. Mapato ya bar husika Kwa mwezi ni kiasi gani?

3. Milioni tano akiambiwa yeye alipe anao uwezo wa kulipa?

4. Anapopanga kuzifutia leseni Kodi inayopotea itapatikana Kwa njia gani

5. Waliolipa Kodi ya biashara kwenye hizo bar mfano wenye leseni ya chakula ndani ya bar hizo ambao NI tofauti na mmiliki WA bar anaathirika vipi?

6. Serikali ikigikishwa mahamani na kudaiwa fidia Kwa hasara alizosababisha atalipa yeye?

7. Wakati wa ufungaji WA bar husika watu wa NEMC awakuweza kukusanya ushahidi WA makosa yaliyotendwa, je serikali ikitakiwa kuthibitisha hayo ataweza kulisaidia Taifa?

8. Nani aliyetoa leseni ya hizi biashara? Nini mtizamo WA taasisi nyingine?

Haya na mengine yalipaswa kutangulia faini lakini Kwa kuwa mfumo uliopo unatamani wanaojitegemea wasifanikiwe na wanaoiba kama walivyotajwa kwenye ripoti ya CAG wafanikiwe basi ..........

Matokeo yake Kwa mambo haya hakuna mchina wala muhindi wala hata mbongo serious ataweka pesa zake Tanzania ; wote watazitorosha kwenda kuzihifadhi nje.

Taifa langu Tanzania mnavyowatesa Watanzania sidhani kama mnaweza kuzitesa biashara za mabeberu hivi.......


Ikivuma Sana inakaribia kupasuka


Haya ni marudio, inabidi NEMC nao tuwapige fine, maana haya makelele tumepigiwa mwaka unaenda wa 5 huu
 
5mil kisa sauti ya mziki au kuna kingine
Lazima kuna watu wamepata mwanya wa kupiga pesa, si bure........waziri aingilie kati kuona ni namna gani hiyo sheria inatumika, vinginevyo kuna kuonea watu kujenga mazingira ya rushwa.
 
Vibe si watu waende wavuvi camp au beach kidinbwi au kwingineko panapostahili mziki?! Hakuna makazi kule, Ni shetani na walevi wake baaas.
Ungejua ulizozitaja nazo zimefungiwa ndo ungejua kuna husda katika hili lililofanywa na NEMC.

Hawa NEMC ni wajinga na wapumbavu, eti watafungia leseni, kwa mamlaka gani waliyo nayo? Kwani wao ndo waliotoa hizo leseni??


Hivi nikiwafikisha mahakamani kwa madai, si naweza shinda fidia ya maana? Wanaweza vipi kuproduce ushahidi usiotia shaka kwamba wakati wanafika walikuta bar yangu inapiga muziki kwa kelele iliyozidi desibeli inayoruhusiwa? Ushahidi wao ni wa namna gani?(mfano traffic wao hukuonesha picha ya gari lako likioverspeed) Je wao NEMC watanipa audio iliyokuwa inakuwa played na kiwango cha desibeli, watathibitisha vp mziki huo ulikuwa kwangu na sio bar nyingine? Wakili mzuri nione PM tuyajenge PM, nina hisa kwenye Bar moja maarufu hapa DSM wameifungia
 
Back
Top Bottom