Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 55,028
- 59,657
Nitalia sasa hivi ujue. Mi Mhehe we nitibue tuuNshakitoa ki zygote chako![]()
![]()
achana na mm
Nitalia sasa hivi ujue. Mi Mhehe we nitibue tuuNshakitoa ki zygote chako![]()
![]()
achana na mm
Nisamehe bas. Sitaki ukereke.Wivu kwa lipi ? Hayo maneno yako ya kukela au?
Ana mpaka jasho tu, dume zima linatutia aibu. Nitoke from nó where niende kumpa hug... This is a bull shit
Tabia za kishoga hizo.dume zima unalilia kumkumbatia mzungu.upumbavu huu
Sa inakuma nn wakat ndo klabu yake ya utotoni hvyo kaamua kurudHujasomeka mkuu,ila daaah ROONEY kwenda everton imeniuma kinyamaaaaaa
#mr ronaldowachezaji na wasanii wana ushawishi mkubwa kwa jamii sioni tatizo la jamaa tatizo la watanzania ujuaji mwingi mnakosoa hata furaha ya mtu kuna watu walizimia kumuona michael jackson tena ngozi nyeupe
pele na maradona vipi ushawishi wao achilia mbali ronaldo na mess
Wanaume wa Dar tu ndio wapo hivyo.Sasa utatoa likzo kwa Wanaume wote, kwa maana Wanaume wa Tanzania wote wako hivyo, kama huyo!
Acheni wivu, HUYO NDIO MTANZANIA WA KWANZA KUMKUMBATIA ROONEY, NANI MWINGINE? wanaosema rooney ni nani, huyo ni mchezaji aliokua man united alikua anakunja kibunda cha 300k kwa week zaidi ya mil 670 kwa week.. hizo ni level nyngne kaja hadi temeke jamaa kaona ajitose
sent from My GooglePixel using JamiiForums mobile app
wanajifanya hawataki kumkubali ndo maana hawawi kama yeyeWivu tuu![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
wanajifanya hawataki kumkubali ndo maana hawawi kama yeye
Kwa wazungu hiyo ni kawaida. Wakenya hawakawii kusema huyo msela ni mkenya![]()
Wakenya walishanishinda tabia, Dar es salaam kuiita Nairobi na uwanja wa taifa kusema ni uwanja wa Nairobi city
Mpaka kiss naona kama alitakaNa huyu vipi unamuonaje..?
View attachment 542001
Hivi bado mnajishughulisha kujibu huyu jamaa?Toka ujio wa Rooney na wenzie inaonesha imekuuma sana.