Rooney kweli kawamaliza, duh!

Rooney kweli kawamaliza, duh!

Huyu jamaa jasiri sana nashauri KITENGO wamchukue jamaa hakuogopa kulambwa risasi wala nini mraDi atimize lengo lake watu wa aina hii wako tayari kufanya lolote sio sisi tulio nyuma ya keyboard cha kushangaza badala ya kuwaza mkong'oto yeye alikuwa anashangilia UPENDO WAKE KWA RUNI HAUNA MASHAKA.Wanaowaza mabo mabaya ni wa kuwaonea huruma.ht Mama Samia angewaza mabaya asingeamuru kijana aachiliwe.
 
kuwa na kibend ndo kinachofanya
Upge show za,wazwaz kabsa
Kuonesha umeshamchoka eeh


Cc inna ulitoka,wap na huyu
Fatak

[Color= yellow]Triple A[/color]
Simtakiii tena huyo nshampata bwana angu mwingine apa kwanza kuna mahali kanidhalilisha kasema mimi ni mbilikimo
 
afu ww mtoto unapenda sana ngono.
Manake umekomaa sana na kushikwa kiuno mara umnyime mmeo papuchi wakati mme mwenyewe huna na hutakuwa nae leo wala kesho.
Yani wewe leo sijui umeamkaje. Au zimejaa?
Ukikataliwa ndo unasema watu hivii??
 
Kwa bahati mbaya huna hata chembe ya bahati kuolewa na MTU aliemkumbatia Rooney ... Utaishia kuolewa na Mashabiki wa ndondo Cup

Sent From My Nokia Ya Tochi
Yah ni wanaume kamili ndomana hawashikwi viuno na wanaume wenzao! Maumivu yakizidi muone tabibu.
 
Mwanaume wa Kitanzania akijisalimisha kwa Muzungu!

DEooDUQV0AADaMm.jpg
Tatizo umezoe kujifungia mule lumumba, hayo mambo yanatokea sana kama wewe ni mfuatiliaji wa mpira ila kwakuwa wewe lisukule la ccm muda wote umewekwa ndani huwezi kujua mambo haya.
OVA
 
Me mwenyewe shibiki! kilichonitisha kushikwa kiuno tuuu..
Huwa unatazama Mpira wa Uropa...?

Huyu hapa chini unamfahamu..?
1500046468146.jpg


Kumshika kiuno katika harakati za kumukumbatia Ndio kumekutisha tu..? Huu Mtazamo wa aina hii uko sana kwa wakazi wa ukanda wa pwani,Sisi watu wa bara (kama tunavyoitwa) hatuna Mtazamo wa kilutu-lutu.
 
Back
Top Bottom